Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habar wakulima wenzangu, ushauri wangu kwa wale wanaoishi mjini wakumbuke kuwatumia fedha kwa ajili ya kilimo kwani wanateseka sio kusubiri kipindi cha mavuno kwenda kufungasha tu
2 Reactions
8 Replies
986 Views
Mafunzo ya kuandaa Tender za Serikali Vencha Corporation inakuletea mafunzo ya kuandaa tender za serikali zenye uwezo wa kushinda. Bajeti ya serikali ni Trilioni 32.4 na Trilioni 12 zitatumika...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mfugaji wa kuku, nguruwe na ng'ombe Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na utitiri wa maduka ya kutengeneza vyakula vya Mifugo ambayo havina ubora. Bahati mbaya watengenezaji hao hawana...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana Jamiiforum... Natokea maeneo ya mkoa wa Katavi-Mpanda.... Aisee napenda kufanya biashara ya mazao lakini nakosa misingi jinsi ya kuanza.... Naombeni mawazo kutoka kwa wahenga...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba namba ya mtu anaefanyia kazi kituo cha Ufugaji Kitulo au mwenye namba ya kituo chochote cha ufugaji kilichopo Mbeya.Msaada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Ningependa kujua bei y kiroba ya kilo mia Cha mihogo
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Why we focusing on Rain water harvesting? It is simply that most of areas receive at least 600mm as total annual rainfall, this amount is big if we invest in rain water harvest (charcoal dam) ...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wahenga, naomba ushauri wa kitaalamu kutoka kwenu hasa kwa wale ambao ni wafugaji wa kuku. Nina mradi wa kufuga kuku wa kienyeji, napata changamoto wakati kuku wanapoumwa ugonjwa wa homa ya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nilianza safari ya ufugaji mwaka Jana mwenzi wa sita kwakununua vifaranga mia kila kifaranga nilinunua elfu mbili na miasita niliweza kupambana navo katika vifaranga mia vilikufa vifaranga vitano...
15 Reactions
19 Replies
8K Views
Hakikisha unatumia dawa za asili katika mazao yako Dawa za asili zimekuwa zikitumika mara nyingi hasa katika kilimo hai na yameonesha mafanikio kwa kiasi kikubwa. Wakulima na wafugaji hawana...
1 Reactions
5 Replies
18K Views
Habari zenu wakuu, Hivi biashara ya duka la jumla la vitu mbalimbali inahitaji mtaji wa kiasi gani? Na inawezekana kumweka mtu na akafanya biashara hii kwa uaminifu na wewe ukaendelea na mambo...
1 Reactions
39 Replies
49K Views
Habari wadau, Nina eneo langu maeneo ya Kisarawe ninahitaji kupandikiza miche ya Korosho. Ardhi yangu ina asili ya tope kipindi cha mvua inatereza sana na wakati wa ukame inakua kama imeganda...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wakuu wa ninampango wakuamishia Mipango yangu ya kilimo Wilayani panagni mkoa wa Tanga, mwezi huu ninampango wa kutembela huko sijawaifika. So please najua Jamiiforum ni kisima cha kila...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salamu makuu, Natumaini huku kunawataalamu wa masuala ya kilimo tunaomba mtupe muongozo wa kulima mazoa hasa ya mbongamboga kama hoho, matango, nyanya na mbonga za majani bila kutimia madawa ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni ushauri. Tikiti limeanza kutoa maua ila mengi yanaishia kukauka na yanadondoka chini. Msaada wenu wakuu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nunua vifaranga vya kuku chotara then wakuze ndani ya miezi 6-7 unauza kwa bei ya kila kuku sasa hv 14,000 Jogooo 20,000. Anza na kuku kidogo upate uzoefu ila katika plan hiii unatakiwa uwe...
3 Reactions
27 Replies
6K Views
Kampuni yetu ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD iliitwa kwa ajili ya kumshauri mheshimiwa mmoja ambaye alikuwa na wazo la kufuga kuku wa asili walioboreshwa kama sehemu ya kazi yake ya ziada. Alitaka...
4 Reactions
55 Replies
25K Views
Habari zenu wandugu? Naomba kufahamishwa athari za kumwagilia mimea shambani wakati jua limeshakua kali, lets say kuanzia jua la saa tano na kuendelea. Au ni kwanini watu wanasema 'jua limeshakua...
1 Reactions
44 Replies
14K Views
Ndugu marafiki, mie ninafuga kuku wa nyama kloiler lakini chakula shida siunajua mahindi yamepanda n.k. Sasa nimesikia hydroponics zinapunguza gharama za chakula cha kuku kwa asilimia 50%. Je...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Yamekuwapo malalamiko kutoka kwa baadhi ya wakulima wa pamba kulalamika kuwa viua dudu vya pamba tulivyopewa na serikali msimu huu haviui wadudu. Malalamiko haya hayana ukweli wowote. Ukweli ni...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Back
Top Bottom