Habar wakulima wenzangu, ushauri wangu kwa wale wanaoishi mjini wakumbuke kuwatumia fedha kwa ajili ya kilimo kwani wanateseka sio kusubiri kipindi cha mavuno kwenda kufungasha tu
Mafunzo ya kuandaa Tender za Serikali
Vencha Corporation inakuletea mafunzo ya kuandaa tender za serikali zenye uwezo wa kushinda. Bajeti ya serikali ni Trilioni 32.4 na Trilioni 12 zitatumika...
Mimi ni mfugaji wa kuku, nguruwe na ng'ombe
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na utitiri wa maduka ya kutengeneza vyakula vya Mifugo ambayo havina ubora. Bahati mbaya watengenezaji hao hawana...
Habari wana Jamiiforum...
Natokea maeneo ya mkoa wa Katavi-Mpanda.... Aisee napenda kufanya biashara ya mazao lakini nakosa misingi jinsi ya kuanza.... Naombeni mawazo kutoka kwa wahenga...
Why we focusing on Rain water harvesting?
It is simply that most of areas receive at least 600mm as total annual rainfall, this amount is big if we invest in rain water harvest (charcoal dam) ...
Habari wahenga, naomba ushauri wa kitaalamu kutoka kwenu hasa kwa wale ambao ni wafugaji wa kuku. Nina mradi wa kufuga kuku wa kienyeji, napata changamoto wakati kuku wanapoumwa ugonjwa wa homa ya...
Nilianza safari ya ufugaji mwaka Jana mwenzi wa sita kwakununua vifaranga mia kila kifaranga nilinunua elfu mbili na miasita niliweza kupambana navo katika vifaranga mia vilikufa vifaranga vitano...
Hakikisha unatumia dawa za asili katika mazao yako
Dawa za asili zimekuwa zikitumika mara nyingi hasa katika kilimo hai na yameonesha mafanikio kwa kiasi kikubwa.
Wakulima na wafugaji hawana...
Habari zenu wakuu,
Hivi biashara ya duka la jumla la vitu mbalimbali inahitaji mtaji wa kiasi gani?
Na inawezekana kumweka mtu na akafanya biashara hii kwa uaminifu na wewe ukaendelea na mambo...
Habari wadau,
Nina eneo langu maeneo ya Kisarawe ninahitaji kupandikiza miche ya Korosho.
Ardhi yangu ina asili ya tope kipindi cha mvua inatereza sana na wakati wa ukame inakua kama imeganda...
Habari wakuu wa ninampango wakuamishia Mipango yangu ya kilimo Wilayani panagni mkoa wa Tanga, mwezi huu ninampango wa kutembela huko sijawaifika. So please najua Jamiiforum ni kisima cha kila...
Salamu makuu,
Natumaini huku kunawataalamu wa masuala ya kilimo tunaomba mtupe muongozo wa kulima mazoa hasa ya mbongamboga kama hoho, matango, nyanya na mbonga za majani bila kutimia madawa ya...
Nunua vifaranga vya kuku chotara then wakuze ndani ya miezi 6-7 unauza kwa bei ya kila kuku sasa hv 14,000 Jogooo 20,000.
Anza na kuku kidogo upate uzoefu ila katika plan hiii unatakiwa uwe...
Kampuni yetu ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD iliitwa kwa ajili ya kumshauri mheshimiwa mmoja ambaye alikuwa na wazo la kufuga kuku wa asili walioboreshwa kama sehemu ya kazi yake ya ziada. Alitaka...
Habari zenu wandugu?
Naomba kufahamishwa athari za kumwagilia mimea shambani wakati jua limeshakua kali, lets say kuanzia jua la saa tano na kuendelea. Au ni kwanini watu wanasema 'jua limeshakua...
Ndugu marafiki, mie ninafuga kuku wa nyama kloiler lakini chakula shida siunajua mahindi yamepanda n.k. Sasa nimesikia hydroponics zinapunguza gharama za chakula cha kuku kwa asilimia 50%. Je...
Yamekuwapo malalamiko kutoka kwa baadhi ya wakulima wa pamba kulalamika kuwa viua dudu vya pamba tulivyopewa na serikali msimu huu haviui wadudu. Malalamiko haya hayana ukweli wowote. Ukweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.