Habari Wadau,
Ninatumia blackberry torch 9810, kama siku mbili zimepita
imeanza tatizo ambalo nashindwa kulielewa.
Kifupi ni kwamba screen yote imekuwa nyeupe na kuna maandishi
rangi nyeusi...
Habari za jioni wadau..
Ninatumia laptop ya IBM T500 na kwa kawaida inakuwa na in-built sim slot ambayo unaweza kuweka kadi ya simu ya 3G kwa ajili ya kujiunga na data..
Sasa nimejaribu kuweka...
Habari waungwana,
Nimekuwa nikitafuta namna ya kuunganisha computer system unit moja - watumiaji wanne au zaidi. Kwenye maduka nimekosa hivyo vifaa vya kufanyia connection, nimeenda ofisi moja...
Wadau habarini za jioni
Nipo dar...na nimeanzisha kibanda cha kuuza movie na series (Za ulaya na Marekani) kwa wateja hasa vyuoni.Sasa nahitaji kuteka soko kwa kutumia software ambayo kama nikimpa...
Habari za muda huu wana JF.
Napenda kuwataarifu kuwa sasa kuna decoda zijulikazo kama strong 4922 ambazo zipo vizuri sana kwa kupata chanel nyingi zaidi kuliko decoda nyinginezo...
Ukiachana na password ya kufungulia computer, kuna password ambayao hutumika kuweka usalama (security) ya computer kwa ajili ya virus, ku install program au kubadili progaram za computer, sijui...
Smartphone ni simu ya mkononi inayotumia "mobile operating system" kama vile "ios","Blackberry 10 Os","Windows mobile 10 OS","Android,Sailfish","Tizen" kwa kutaja chache inayofanya kazi kama vile...
Janani, anatafutwa fundi ambae ataweza kutengeneza local Network mkoani mtwara...
room ziko tano ambazo inatakiwa computer zake zote ziwe shared
kama uko vizuri ni pm
Mimi niko Moshi, Ninatumia DSTV na Azam. Niliweka Azam as nilihisi labda wataweza wakawa wanaonyesha EPL, Italy, Germany na Spain. Lakini hawajaweza mpaka sasa! Natumia DSTV kwa sasa ila...
Kwa wale fans wa Windows phone, Tayari annivesary update kwa windows phone ishatolewa kwa baadhi ya simu zinazotumia windows. Binafsi natumia Lumia 640, Mwaka jana nilisema ngoja nitest ladha ya...
Naishi Mbezi Njia ya kwenda Makabe. Nimefunga Azam dish yapata miezi 10 sasa. Bahati mbaya siku ya tatu leo limepoteza chanel zote local isipokuwa Azam sport HD, Star Tv na Tv1. Chanel za nje...
Habaru wanajamii naomba kuuliza kati ya window 10 na 8.1 pro ipi nzuri na effective na pia program gani nyingine ni nzuri ku i keep pc yako safe secured with high speed.........
habari za kazi waungwana
twende moja kwa moja kwenye topic.
siku za hivi karibuni biashara ya blog imekua ikikua kwa kasi sana hapa nchini kwetu.na vijana wengi wamekua wakitamani sana kuitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.