Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Cant be opened using the built-in adminstration account wakuu huu ujumbe unajitokeza sana ktk baadhi ya apps kama kamera,store na zinginezo natumia win 10 sasa niliwahi restart machine na kucreate...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa muda mrefu kidogo nilikua napata kuona bure baadhi ya stesheni za startimes kupitia code no 530 570 578 ila wiki ya pili zimepotea na kila niki sachi hazipatikani tena ama wamestuka?
0 Reactions
1 Replies
956 Views
habari wanajamvi kama kuna mtu amejiunga na huduma hii ya kusoma masomo ya ufundi kwa njia ya mtandao naomba atusaidie kutujuza masomo haya yapo vp?
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Namna ya kujua sony xperia fake na original..na je kila sony inayotengenezwa china ni fake?..
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Wakuu ni jinsi gani ya kutambua mtu mnayewasiliana nae kwa email hususani toka nje ya nchi mfano uingereza anataka kukufanyia wizi au utapeli wa mtandao.Mwenye mfano toa!maana kuna jamaa yangu leo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wanajamvi naomba msaada wenu jinsi ya kudownload fasta fifa games
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, kuna yeyote anayefahamu fb autoposter nzuri kwa matumizi? Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kosa ambalo watu wengi huwa tunalifanya katika topic ya Computer Virus ni kujumuisha Worm au trojan kama Virus,Haya maneno huwa yanatumika sana midomoni mwetu kana kwamba yote ni kitu kimoko,Sio...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Maendeleo makubwa katika kuhifadhi nishati ya jua itapelekea watanzania wengi kutotegemea umeme wa TANESCo. Teknologia ya kuhifadhi nishati jua kwenye battery imeimarika kikwazo ni bei ambayo...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Simu yenyewe ni condor C6 , ni simu nzuri sana na kwa bahati mbaya ilianguka na display imekufa , wadau kwa hapa dar naweza pata wapi display ya simu hii au simu yenyewe naweza kuipata maeneo gani...
0 Reactions
6 Replies
987 Views
nasikia benk ya stanbic wanatoa mkopo wa iphone je ni kweli au uongo?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Am proud to Announce an alpha version of Kasuku. Download setup and Install it. Tell us what is missing or what should be changed here. Enjoy "Sweet Kasuku Sound!" :)
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu.. Ubisoft mwishoni wa mwez huu wa pili wametoa game ya Far cry primal ni game moja nzuri sana ya Action ingia youtube uione.. Game ina ukubwa kama wa 11Gb mi ndo imebaki...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kampuni inayoshika rekodi gsmarena.com kipengele cha simu kukaa na chaji zaidi,yaani endurance rating, ya Gionee,inatarajia kuachia simu nyingine itakayoshika rekodi tena ya endurance rating,simu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Guys naombeni msaada wa kupata drivers ya modem yangu ya vodafone k3772-z. Ni mali ya ZTE cooperation
0 Reactions
1 Replies
958 Views
Wapendwa naomba kupata app ambayo itaniwezesha ku root simu tajwa hapo juu bila kutumia computer, hapo awali nilikuwa na tecno phantom plus nikairoot kwa kutumia kingroot lkn nilipojaribu kwa simu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamii naomba msaada, Simu yangu iPhone 4 niliagiziwa na kaka yangu kutoka Japan shida yake ukiweka line haisomi mtandao inaomba pin code kwa yeyote anae faham anisaidie nitachangia gharama...
0 Reactions
1 Replies
823 Views
Simu yangu iPhone 4 kutoka japani haisomi network na inaomba pin code naomba msaada
0 Reactions
2 Replies
663 Views
Ndugu zangu naomba ushauri wa matibabu .Nilikuwa naumwa Typhoid nikatumia vidonge 84 Kwa wiki 2.Wakati naendelea Na matibabu nilianza kusikia maumivu ya kichwa upande wa kushoto Na kulia Na nyuma...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wamenambia niupdate payment method yangu kisha nichague banner linalofaa kwenye blog yang .naombeni msaada hapo kwenye kuchagua banner.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom