Innocenthezron
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 393
- 472
Habaru wanajamii naomba kuuliza kati ya window 10 na 8.1 pro ipi nzuri na effective na pia program gani nyingine ni nzuri ku i keep pc yako safe secured with high speed.........
mkuu kama hujui vitu ni vyema ukauliza ila mambo mengi uliyoandika si kweliMkuu install window 8 ndiyo nzuri na pia inasoftware nyingi.
-Window 8.1 kuna baadhi ya program inakataa mfano wale wanaotumia nokia kuna program inaitwa Joikuspot inakataaa kbsa hata kaspersky antivirus inakataaa.
-Window 10 ina program chache na tatizo lake inamwanga mkali na huwezi kupunguza hata ukipiga driver pack solution inakataaaa
-window 8.1.1 nayo ni kimeo tu
Window ninazozikubali ni 7 & 8 pro sbb ni rahisi kutumia, zina features na program nyingi.. Bit 64 ndiyo mwake
Mkuu juzi tu niliweka window 10 ilinishinda mwanga ni mkali na haipungui. Zote zina window defender 8, 8.1 & 8.1.1mkuu eka windows 10 sababu. ni ya kisasa zaidi ya windows zote na hutahitaji ant virus matumizi ya kawaida windows defender inayokuja na windows 10 inalinda vizuri tu
Siyo km sijui najua kila mtu anazungumza kulingana na experience. Window zote nishazitumia na pia najua mapungufu yake.mkuu kama hujui vitu ni vyema ukauliza ila mambo mengi uliyoandika si kweli
Window ambazo ni nzuri 7& 8 pro ukipata bit 64.Habari kumradhi
1. tatizo la mwanga inamaana hujaeka drivers za graphics, itakuwa hio windows 8 yako ilikuja na pc na hizo drivers zilikuwa pre installed tayari.Siyo km sijui najua kila mtu anazungumza kulingana na experience. Window zote nishazitumia na pia najua mapungufu yake.
Window tena tatizo lake mwanga, hapo utachemka lbda km aina pc zinatofautiana.
Window 8.1 baadhi ya program zinakataaa.
Mpaka sasa window ninayoitumia ni window 8pro bit 64
Uliyo yaongea yote sio ya kwelMkuu install window 8 ndiyo nzuri na pia inasoftware nyingi.
-Window 8.1 kuna baadhi ya program inakataa mfano wale wanaotumia nokia kuna program inaitwa Joikuspot inakataaa kbsa hata kaspersky antivirus inakataaa.
-Window 10 ina program chache na tatizo lake inamwanga mkali na huwezi kupunguza hata ukipiga driver pack solution inakataaaa
-window 8.1.1 nayo ni kimeo tu
Window ninazozikubali ni 7 & 8 pro sbb ni rahisi kutumia, zina features na program nyingi.. Bit 64 ndiyo mwake
Ni mtazamo wako. Kila mtu anafunguka kulingana na uzoefu. Sasa km ww uelewa wako unamtegemea mtu mwingine. Shauri yako.Uliyo yaongea yote sio ya kwel
Windows 10 nimetumia na mwanga unapungua kama kawa. labda pc yako kimeo.Mkuu juzi tu niliweka window 10 ilinishinda mwanga ni mkali na haipungui. Zote zina window defender 8, 8.1 & 8.1.1
Km unasimu hapo install Joikuspot halafu isearch kwenye window 8.1 km utaipata?
Unaijua joikusport?
Nimetumia window zote na pia najua mapungufu yake
DRIVER PACK SOLUTION UKIPIGA KWENYE WINDOW 10 HATA HAIFUNCTION KBSA.
Ni mtazamo wako. Kila mtu anafunguka kulingana na uzoefu. Sasa km ww uelewa wako unamtegemea mtu mwingine. Shauri yako.
Mm window zote nimetumia mkuu, najua mapungufu yake.
Au kwa vile Mkwawa aliposema window 10 ni nzuri? Hakuna la maana kwenye window 10 zaid ya kucopy kweny window 8.
NINGEKUONA MTU WA MAANA SANA KM UNGEKUJA NA MTAZAMO WAKO.
HALAFU MKUU UTAMPINGAJE MTU KWA HOJA YA KIJI.NGA NAMNA HIYO? FUNGUKA USIWE KAMA MTOTO WA DARASA LA KWANZA.
Mkuu hili jukwaa siyo la watu wachache. Ni vizuri kuheshimu mawazo ya mtu. Sijakulazimisha unaquote. Nimeeleza kulingana na uzoefu wangu.Windows 10 nimetumia na mwanga unapungua kama kawa. labda pc yako kimeo.
Mbona windows 10 ni very simple kutumia...Haina tofauti na 7Mkuu install window 8 ndiyo nzuri na pia inasoftware nyingi.
-Window 8.1 kuna baadhi ya program inakataa mfano wale wanaotumia nokia kuna program inaitwa Joikuspot inakataaa kbsa hata kaspersky antivirus inakataaa.
-Window 10 ina program chache na tatizo lake inamwanga mkali na huwezi kupunguza hata ukipiga driver pack solution inakataaaa
-window 8.1.1 nayo ni kimeo tu
Window ninazozikubali ni 7 & 8 pro sbb ni rahisi kutumia, zina features na program nyingi.. Bit 64 ndiyo mwake
JF NI JUKWAAA HURU NA KILA MTU ANAMTAZAMO WAKE. KUNA WENGINE WANAJIONA WAO NI BORA ZAIDI KULIKO WENGINE. NI VIZURI MAWAZO YA MTU YAHESHIMIWA KM UNAJIONA NI BORA SANA KWANN BADO MPAKA LEO UNATUMIA SOFTWARE ZA WENGINE?
Kwann usitengeneze zako km ww ni nondo sana? Mm nimeeleza kulingana na uelewa wangu halafu from nowhere mtu anasema ''si kweli'' halafu anakaa kimya, huu si ujinga kiwango cha PHD.
Km mtu kakosea ni vizuri ueleze from A-Z na siyo kukaa kimya.
CHA KUSHANGAZA MTU ANAYEJIONA BORA KULIKO WENGINE BADO ANATUMIA VITU ALIVYOTENGENEZA MWANAUME MWENZAKO.
Nakubaliana nawe.mkuu eka windows 10 sababu. ni ya kisasa zaidi ya windows zote na hutahitaji ant virus matumizi ya kawaida windows defender inayokuja na windows 10 inalinda vizuri tu
Ilinishinda mwanga ulikuwa mkali sana. Vitufe vya kuongeza mwanga na kupunguza pia vilikuwa havifanyi kazi.Mbona windows 10 ni very simple kutumia...Haina tofauti na 7