Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habarini za mida kama hii...naombeni msaada wenu nilihamisha dish langu LA azam kutoka eneo moja kwenda lingine ..hivyo nimelipandisha juu LiMeleta signal ila Chanel zilizokuja sizo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa wale mlioroot simu zenu, sasa unaweza pata music player hiyo bora kabisa kupita zote ikiwa full version kwa kutumia Lucky Patcher Karibu kwa maelekezo
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Jaman samahann naomba mnijuze application ambayo itanisaidia kubadili sura halisi ya ki2 na kuifanya ilete mwonekano mwngne Mfano ni picha hii imechenji kdg from original :
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Complete and capable data recovery software for rescuing files under almost any conditions including: accidentally deleted files; damaged or formatted hard drive; lost/deleted partition; photo or...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Hawa Jamaa hii slogan yao ya hapa kasi tu inaishia ubungo tuu
1 Reactions
11 Replies
942 Views
Wakuu habari zenu?Poleni na majukumu! Naomba MSAADA nimepata tatizo la simu yangu niliflash custom ROM jana.Before niliformart kila kitu kwenye recovery mode then nilipotaka kuflash ROM mpya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi, nina wazo la biashara ila nilkua nahitaj ushauri wa jinsi ya kulifanikisha wazo langu. Mimi naishi maeneo ya Gongo la Mboto DSM, sijasomea IT ila nina kaujuzi na napendelea...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Kama kuna MTU anaweza nisaidia kudowload kitabu hiki bila kulipia kwa PDF
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Watu wengi tumekua tukidharau au kubeza simu zinazotoka China. Mtu unapokuwa na simu ya Mchina basi watu watakutania na kukuona umenunua simu mbovu na ya bei rahisi. Lakini katika siku za hivi...
8 Reactions
42 Replies
21K Views
Tambua IMEI yako kisha ijaze kwenye sehemu ya kutafutia, baada ya hapo click UNLOCK Simple and easy. Fuata Link ifuatayo=> Free your phone
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Kwa anayejua software ya ku unlock simu ili iweze kutumia line zote Nitajie.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ningependa kufaham vizuri ni band ipi simu uwe nayo ndo iwe ina support TIGO au VODACOM 4G. maana nina simu ina support 4g lakin hapa tanzania haishik kabisa yaani. na kingine ningependa kutambua...
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Wakuu nashukuruni kwa ushauri nimefanikisha ku unbrick phone by sp flash tool kama nilivyopata muongozo kwa baadhi ya watu,tatizo limekuja sim one is not detected while other sim is detected.How...
1 Reactions
7 Replies
988 Views
Jamani cm yangu kila mala inaniambia internal storage full... Nimejaribu kufuta video,picha zote lakn space yake iko vilevile haijabadilika... Nimeclear cache lakn bado tatzo nisaidieni mwenye...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kampuni ya Samsung Electronic ilitoa simu aina ya Note 7 na ikakubwa na majanga mengi sana ya kulipuka kwa betri na mpaka kupelekewa kupigwa marukuku. Utani sasa dhidi a hiyo simu Tazama utani zaidi
7 Reactions
4 Replies
1K Views
Simu yangu aina ya tecno boom j7 inagoma kudownload video kwenye browser. Tatizo nini wadau, msaada please.
0 Reactions
2 Replies
756 Views
Wakuu nimelenga kufanya installation ya whatsapp katika Ipad 3. Nilivyofuatilia nikabaini kuwa ili kufanya hiyo installation ni lazima kuifanyia jaibreaking ( kuondoa vizuizi vya manufacturer)...
0 Reactions
3 Replies
815 Views
Jaman nauliza ni App gani nzuri kwa Dictionary ya English-swahili?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari za sa hii? Naomba maelezo namna ya kustream free tv online kwa computer.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom