Anaitajika fundi wa kutengeneza local Network

Anaitajika fundi wa kutengeneza local Network

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,888
Reaction score
9,633
Janani, anatafutwa fundi ambae ataweza kutengeneza local Network mkoani mtwara...
room ziko tano ambazo inatakiwa computer zake zote ziwe shared
kama uko vizuri ni pm
 
Janani, anatafutwa fundi ambae ataweza kutengeneza local Network mkoani mtwara...
room ziko tano ambazo inatakiwa computer zake zote ziwe shared
kama uko vizuri ni pm
Nimekuandikia kwenye PM
 
Janani, anatafutwa fundi ambae ataweza kutengeneza local Network mkoani mtwara...
room ziko tano ambazo inatakiwa computer zake zote ziwe shared
kama uko vizuri ni pm
Km kazi bado ipo ni PM
 
Janani, anatafutwa fundi ambae ataweza kutengeneza local Network mkoani mtwara...
room ziko tano ambazo inatakiwa computer zake zote ziwe shared
kama uko vizuri ni pm
kama ni moshi ni pm mkuu
 
inasikitisha sana, kazi imetangazwa na mnaona hapa mko wengi mnaohitaji hio tenda halafu mnataka nyie ndo mtumiwe mesej.. ni sawa na kampuni kutangaza nafasi za kazi halafu nyie mnataka kampuni ifate CV zenu majumbani kwenu..

P U M B A V U Z E N U[emoji52] [emoji52]
 
inasikitisha sana, kazi imetangazwa na mnaona hapa mko wengi mnaohitaji hio tenda halafu mnataka nyie ndo mtumiwe mesej.. ni sawa na kampuni kutangaza nafasi za kazi halafu nyie mnataka kampuni ifate CV zenu majumbani kwenu..

P U M B A V U Z E N U[emoji52] [emoji52]
inasikitisha sana, watu kama hao ndio wanataka kukimbizana na Kenya kwenye East African Community katika soko la ajiri... ukiona kazi imetangazwa mhitaji anaweka no ya simu ili atafutwe ujue huyo ni dalali au mbabaishaji, kuna kazi niliwahi kutangaza kijana mmoja graduate akaweka namba ya simu nimtafute baada ya kumpigia simu nikaanza kumfanyia assessment kichwani alikua mweupe na porojo nyingi ikabidi nikate simu.
 
inasikitisha sana, watu kama hao ndio wanataka kukimbizana na Kenya kwenye East African Community katika soko la ajiri... ukiona kazi imetangazwa mhitaji anaweka no ya simu ili atafutwe ujue huyo ni dalali au mbabaishaji, kuna kazi niliwahi kutangaza kijana mmoja graduate akaweka namba ya simu nimtafute baada ya kumpigia simu nikaanza kumfanyia assessment kichwani alikua mweupe na porojo nyingi ikabidi nikate simu.
kutojitambua nalo ni tatizo mkuu ila hatujui tu.
 
Back
Top Bottom