Tecno n8 na Huawei y3ii

Tecno n8 na Huawei y3ii

Kabelwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
678
Reaction score
196
Wadawa naomba kufahamishwa kati ya Simu hizi mbili Tecno n8 na Huawei y3ii IPI inafaa kwa matumizi ya kawaida na ukaifurahia
 
Wadawa naomba kufahamishwa kati ya Simu hizi mbili Tecno n8 na Huawei y3ii IPI inafaa kwa matumizi ya kawaida na ukaifurahia
Kwa upande wa processor Go for huawei pia zipo za 4G. ila screen ndogo 4.5".

Kwa upande wa kioo go for Tecno ina 5"
Zote zinatumia Mediatek.

Kwa ushauri wangu Tafuta Tecno W4 inazishinda zote hizo kwa kila kitu na bei ni mlemle.
 
Hii Tecno w4 inauwezo Wa kutumia 4g
 
Wadau wa hizi Tecno naomba kuuliza kuhusu battery ktk Tecno w4 unaweza kuitoa na kuiludisha au ndio zile ambazo huwezi kuitoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom