Msaada wa fundi wa kuinstal madish ya Azam

dmketo

JF-Expert Member
Aug 10, 2015
584
932
Naishi Mbezi Njia ya kwenda Makabe. Nimefunga Azam dish yapata miezi 10 sasa. Bahati mbaya siku ya tatu leo limepoteza chanel zote local isipokuwa Azam sport HD, Star Tv na Tv1. Chanel za nje zinaonekana vyema.

Nimeita fundi amejaribu kucheki juu kwenye dish kupo sawa na akipima frequency zipo sawa isipokuwa kwenye Tv frequency inasoma Intensity 72 & Quality 22. Shida ni kwamba fundi akisoma frequency juu kwenye dishi zipo vizuri ila ndani ndio shida. Mwanzo fundi alihisi shida ipo kwenye Lnb tukanunua nyingine tatizo likawa vilevile, tukaicheck decoder nayo ipo sawa.

Nikiamini kwamba uwezo wa mafundi unatofautiana naomba kama kuna fundi mzuri aliye karibu na Mbezi humu anipm namba yake aje kunirekebishia.
 
kama unaweza beba kingamuzi chako uje nacho kigamboni ilo nahisi ni suala la software
Naishi Mbezi Njia ya kwenda Makabe. Nimefunga Azam dish yapata miezi 10 sasa. Bahati mbaya siku ya tatu leo limepoteza chanel zote local isipokuwa Azam sport HD, Star Tv na Tv1. Chanel za nje zinaonekana vyema.

Nimeita fundi amejaribu kucheki juu kwenye dish kupo sawa na akipima frequency zipo sawa isipokuwa kwenye Tv frequency inasoma Intensity 72 & Quality 22. Shida ni kwamba fundi akisoma frequency juu kwenye dishi zipo vizuri ila ndani ndio shida. Mwanzo fundi alihisi shida ipo kwenye Lnb tukanunua nyingine tatizo likawa vilevile, tukaicheck decoder nayo ipo sawa.

Nikiamini kwamba uwezo wa mafundi unatofautiana naomba kama kuna fundi mzuri aliye karibu na Mbezi humu anipm namba yake aje kunirekebishia.
 
Back
Top Bottom