Namna gani ya kutumia system unit moja watumiaji 4?

Namna gani ya kutumia system unit moja watumiaji 4?

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,617
Habari waungwana,
Nimekuwa nikitafuta namna ya kuunganisha computer system unit moja - watumiaji wanne au zaidi. Kwenye maduka nimekosa hivyo vifaa vya kufanyia connection, nimeenda ofisi moja nikakuta wameunga hivyo lakini hawakutaka kunielekeza ni wapi wamepata hivyo vifaa.
Kwa yeyote anayejua namna ya kufanya hiyo kitu naomba anisaidie ili niweze kufanikisha shughuli zangu.
 
Habari waungwana,
Nimekuwa nikitafuta namna ya kuunganisha computer system unit moja - watumiaji wanne au zaidi. Kwenye maduka nimekosa hivyo vifaa vya kufanyia connection, nimeenda ofisi moja nikakuta wameunga hivyo lakini hawakutaka kunielekeza ni wapi wamepata hivyo vifaa.
Kwa yeyote anayejua namna ya kufanya hiyo kitu naomba anisaidie ili niweze kufanikisha shughuli zangu.
tafuta kitu inaitwa N-computing..ndo suluhu
 
Kuna Kampuni inaitwa Ncomputing ndio wavumbuzi na wanaosambaza vifaa vya hiyo teknolojia.

images



Unaunganisha hichi kifaa na screen yako, keyboard, mouse na vifaa vingine kisha hicho kibox kinaenda kuunganishwa kwenye computer moja inayotumiwa na watu wote.

images
 

Attachments

  • upload_2016-11-23_20-47-39.jpeg
    upload_2016-11-23_20-47-39.jpeg
    9.9 KB · Views: 37
Habari waungwana,
Nimekuwa nikitafuta namna ya kuunganisha computer system unit moja - watumiaji wanne au zaidi. Kwenye maduka nimekosa hivyo vifaa vya kufanyia connection, nimeenda ofisi moja nikakuta wameunga hivyo lakini hawakutaka kunielekeza ni wapi wamepata hivyo vifaa.
Kwa yeyote anayejua namna ya kufanya hiyo kitu naomba anisaidie ili niweze kufanikisha shughuli zangu.
Hiyo ni teknolojia ya kifaa kiunganishi kiinachoitwa Ncomputing, ni jina la waliotengeneza, mimi huwa nakutafutia kutoka kwa wauzaji na kukufungia, unapiga kazi, ni PM
 
Hizo zinaitwa Thin client . N-Computing zinapatikana Arusha Sound & Vision . sijauliza bei
 
Hizo zinaitwa Thin client . N-Computing zinapatikana Arusha Sound & Vision . sijauliza bei
Umeongelea thin client na N-computing, ni vitu viwili tofauti au?
 
Umeongelea thin client na N-computing, ni vitu viwili tofauti au?
Ni kitu kimoja. NComputing ni aina ya thin client device inayotengenezwa na kampuni ya NComputing. Pia thin clients za maampuni mengine zinazofanya kazi sawa sawa kama vile QOTOM thin client ambayo ni ya china. Ila Ncomputing ndio imejichukulia umaarufu Tanzania
 
Ni kitu kimoja. NComputing ni aina ya thin client device inayotengenezwa na kampuni ya NComputing. Pia thin clients za maampuni mengine zinazofanya kazi sawa sawa kama vile QOTOM thin client ambayo ni ya china. Ila Ncomputing ndio imejichukulia umaarufu Tanzania
Nawezaje kupata hivyo vifaa? niko jijini Mwanza nimejaribu kuulizia nimegonga mwamba.
 
Back
Top Bottom