Kwanza habari zenu wana JF Nahitaji msaada wenu, niliroot tecno J5 ikakaa poa ila nikahitaji kui Unroot na nilipo jaribu kui unroot imekua ikiwaka inaishia tu pale linapokuja neno tecno mpaka...
Ni karibu miezi miwili iliyopita tangu kampuni inayoaminika sana ya Samsung kutangaza kuondoa toleo moja sokoni la Galax note 7,
Kampuni hiyo Ndiyo kampuni niliyoiamini zaidi, lakini kabla ya...
Kuna huu mtandao wa alibaba naombeni mnisaidie jambo moja jamani huu mtandao nimeupenda sana una bidhaa ambazo ni cheap sana ila tatizo linakuja kwangu pale kuwa wanahitaji mtu kuorder bidhaa...
Habari wadau!..
Vugu vugu la ukuaji wa teknolojia kwa nchi afrika wenzetu kenya wameamua kufanya kwa vitendo, Wakenya wote kwa pamoja wameweka tofauti zao za kiasiasa pembeni na kushiriana na...
Wadau habari zenu ,
Kwa mda mrefu sasa simu yangu imekuwa na tatizo la video kutotoa sauti au kutoonyesha kabisa nikiipost Instagram
Lakini uki play kwenye gallery inakubali tatizo linakuja Niki...
Wadau habari za muda huu...kwa wadau wanatumia IOS devices/iPhones...accidentally nimedelete music app yangu yahani ile default music app ya apple (sijui kama ili ni jina sahii) lakini namaanisha...
Habarini ndugu, tokea Jana computa yangu inakua nzito kufungia mafaili na nashindqa kudownload vitu mfano video player au game au hats nyimbo, msaada pls
Kwa wale ambao wameshawahi kutumia myus.com naombeni mnielekeze matumizi ya hii account ya premium.
Ni kwamba ukisharegister na hii 60$ a year unakuwa --------- mzigo bure kwa mwaka mzima au...
Habar za Muda wadau, nina computer yangu HP Pavilion, mwanzoni ilikuwa iko poa sana, Lakini sasa sielewi kabisa,
Nikiweka kwenye chaji basi inafanya kazi safi tu, Ila umeme ukakatika au...
Nina samsung J5 yangu tangu juzi iko slow kiasi kwamba siwezi soma mesage za whatsap, na nikisend mesage ni kama nimesend bila na data.
Nimejaribu jana ku iformat ila naona tatizo liko pale pale...
Wakuu,habari zenu,kuna mdogo wangu ameifanyia hard reset Simu yake Tecno n2 ambayo amenunua tigo shop sasa baada ya kufunguka na kufuata hatua zote ili aweze kuitumia amekwamia njiani inaseach...
habar wakuu nimejaribu kutuma cv yang kwa email nikatuma pdf file lakini zinaishia kugoma tu
Kinachonishangaza wananambia niweke email ya mtu nayemtumia naweka
chini nakuta wameniandikia compose...
Ni zaid ya wiki sasa kila nikipiga simu kupitia line yangu ya voda inanilete Ujumbe huo "ACM limit exceeded" sasa sielewi tatizo. Na nimechukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kureset bado hamna...
Wakuu Nimeingiza game la pes 2017 ila nikitaka kulifungua naandikiwa " Unable to initiate stream Api" msaada tafadhari kwa mwenye kujua jinsi ya ku fix tatizo hili.
Natanguliza shukrani
Walianza kwa kasi kweli kwenye internet sasa hivi ni aibu hata kuzungumzia, customer care namba haipatikani, kwenye facebook ukilalamika hawajibu ila ukiwasifia admin anajibu fasta, utasikia...
Habari zenu wadau..... Nina printer tajwa hapo juu na CD yake ila imegoma kwenye laptop yangu ya acer aspire E1-510.
Naombeni msaada jinsi ya kupata software hii ambayo itafanya kazi moja kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.