Mtandao Gani nitumie ku Stream Premier league

Mtandao Gani nitumie ku Stream Premier league

Arsenalist1

Senior Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
163
Reaction score
50
Za Humu Ndani wadau, nilikua Niki stream na mamaHD.com kwa PC nikitumia Voda net, na nilikua na stream vizuri...kwa sasa inakatika Katika Sana...mtandao gani mzuri ku stream online? Or best web ya stream online premier league.. Natanguliza shukran
 
Za Humu Ndani wadau, nilikua Niki stream na mamaHD.com kwa PC nikitumia Voda net, na nilikua na stream vizuri...kwa sasa inakatika Katika Sana...mtandao gani mzuri ku stream online? Or best web ya stream online premier league.. Natanguliza shukran
Mkuu net ya voda iko vzr? Mm huku natumia Halotel ni hatari. Anyway mm natumia simu kucheki gemu zote iwe EPL, LIGI 1,LA LIGA, BUNDAS LIGA etc kupitia app ya SPOTFORUM
 
Mkuu net ya voda iko vzr? Mm huku natumia Halotel ni hatari. Anyway mm natumia simu kucheki gemu zote iwe EPL, LIGI 1,LA LIGA, BUNDAS LIGA etc kupitia app ya SPOTFORUM
Ilikua vizuri... Hivi karibuni ndio inazingua
 
Asanteni wote mlichangia nitajaribu nitaleta mrejesho.. Shukran
 
Cheaf mkwawa mambo vipi sasa chief kwenye smat phone hiyo football hd inaweza play
 
Mkuu net ya voda iko vzr? Mm huku natumia Halotel ni hatari. Anyway mm natumia simu kucheki gemu zote iwe EPL, LIGI 1,LA LIGA, BUNDAS LIGA etc kupitia app ya SPOTFORUM
Inakuaje hiyo mkuu mimi nina window phone

Sent from mTalk using microsoft lumia 950xl
 
Back
Top Bottom