Pc inachukua mda mrefu ku-install windows

zeromagic

Senior Member
Sep 14, 2016
186
67
Msaada kulingana na kichwa cha habari hapo Juu. Nimejaribu takribani cd tofauti tofauti za win10 na win7 lakin imeshindikana. Nikajaribu kutumia bootable usb ikashindikana pia. Speed ya kuinstall window bado ndogo, yaani kwa anzia saa 3 usiku mpaka saa 2 asubuh nakuta percentage 8. Msaada tafadhari
 
pengine hdd yako ni mbovu au ina virusi, kabla hujaamua kuweka windows haikuwa na tatizo lolote?
 
pengine hdd yako ni mbovu au ina virusi, kabla hujaamua kuweka windows haikuwa na tatizo lolote?
Nahisi ilikua na virus. Sasa nafanyaje na siwez kutumia tena kwani nishafomat partion iliyokuwemo windows niliyokua ninaitumia
 
Nahisi ilikua na virus. Sasa nafanyaje na siwez kutumia tena kwani nishafomat partion iliyokuwemo windows niliyokua ninaitumia
mkuu kama umeformat na still ipo slow pengine ni mbovu.

jaribu kutumia mini tootl partition wizard bootable edition, igoogle install kwenye flash na rufus halafu badala ya kuboot na windows boot na hio flash halafu tumia hio kuformat na kueka mambo mengine sawa uone kama itasaidia. kama ni virusi ikiformat watatoka
 
mkuu kama umeformat na still ipo slow pengine ni mbovu.

jaribu kutumia mini tootl partition wizard bootable edition, igoogle install kwenye flash na rufus halafu badala ya kuboot na windows boot na hio flash halafu tumia hio kuformat na kueka mambo mengine sawa uone kama itasaidia. kama ni virusi ikiformat watatoka
Mkuu
Nikiformat kwa hii njia kuna uwezekano wa kurecover data zangu
Au uwezekano ni mdogo
 
shukran mkuu
nimefuta kila kitu bado iko slow.
basi itakua hdd ni mbovu
kama hdd ni mbovu kuna njia ya yoyote kuitengeneza
asilimia kubwa ni mbovu hapo jaribu kufanya
1. low level formating, google kwa app zinazofanya hicho kitu
2. inunulie kasha uifanye iwe external
 
Msaada kulingana na kichwa cha habari hapo Juu. Nimejaribu takribani cd tofauti tofauti za win10 na win7 lakin imeshindikana. Nikajaribu kutumia bootable usb ikashindikana pia. Speed ya kuinstall window bado ndogo, yaani kwa anzia saa 3 usiku mpaka saa 2 asubuh nakuta percentage 8. Msaada tafadhari

Pc yako Ya aina gani?...angalia usije Ikawa una-install windows version ambayo sio compactible na pc yako. (Os version, bits type na os version type Mfano windows 7 kuna 64 bits, then pro, home basic, premium na kadhalika)

Kama utatumia bootable USB, download Rufus, then format kwa kutumia system hii, Huenda installation Ya windows ina tatizo.

Option nyingine ni kujaribu ku-download fresh copy Ya windows

Pia check bios settings, au settings za pc kwa ujumla, if possible reset kwa default.

Last kabisa, inawezekana ni hard disk imecheza, kama una vifaa itoe then ifanye slave kama external HDD then tumia pc Nyingine kuwekea windows humo, or itoe then jaribu kuirudisha Sometyms huwa inakubali.PC Ya jamaa yangu ilikubali baada Ya kuiunga tena.
 
Back
Top Bottom