KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Heshima kwa wanaJF wote naombeni kufahamishwa ni njia gani inayotumika kupata internet kwa kutumia haya madish ya kawaida ya tv channels na ni satellite gani inayotumika. Msaada kwa wanaJF wanaofahamu maujanja natanguliza shukrani