Msaada wa kutoa password iliyosahaulika

Msaada wa kutoa password iliyosahaulika

Baba wa Amani

Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
56
Reaction score
36
Kuna mtu aliweka password kwenye simu (Phone password) sasa amezisahau na hawezi kuiwasha hiyo simu.

Msaada please!
 
Nenda kwanza polisi toa maelezo,kisha kuna karatasi utapewa uende nayo kwa fundi atajua cha kufanya!!
Note-Ni kosa kisheria kuflash/unlock locked or blocked device bila ruhusa ya polisi!
 
Back
Top Bottom