Helo wadau nimepita kkoo nimekutana na hizi decoder za kodtech...nimeambiwa zinatumia antenna na channel zake zinapatikana free bila kulipia. naomba wataalamu humu au waliowahi kuzitumia wanipe...
habari,ninashida kidogo hapa na huawei y520-u22, tatizo ni kwamba nikiiwasha inaishia pale kwenye logo ya huawei na haifany chochote, nikijaribu kuhard reset kwa button combination inafika mpaka...
Simu yangu ni tecno M5, kabla haikua na tatizo hili la kugoma kuinstail au kuapdate app.
Huwa inaniletea maneno hayo nikienda kwenye setting bado kuna nafasi GB za kutosha sijui tatizo ni nini...
JINSI YA KU UPDATE ANDROID KITKAT
KWENDA LOLLIPOP
No Computer needed…..
Utangulizi:
Bado Teknologia inakua kila sekunde.. Yapo
Maboresho kila Nyanja hasa katika Mawasiliano kwa ujumla. Kompyuta na...
PRODUCT NAME : HP 250 G4 NOTEBOOK PC
PROCESSOR : INTEL(R) CORE (TM) i3-5005U CPU @2.00GHz
RAM : 8GB
MEMORY : 1 TB
Jamaa ananiambia hii laptop iko pouwa kwa games zote hata kama ni heavy,je ni...
I know ihis might be old news to some but inorder to save my hard earned buck I considered the possibility of receiving the free channels accessible through the DSTV decoder... What was annoying...
Wakuu habarini ..
nina tatizo juu ya hii simu ya samsung s4 t-mobile sgh-919 ambayo inaonesha kuwa ina support mfumo wa network wa lte yani 4g kama sijakosea..lakini hii simu 4g yake haiko active...
Wadau,
Habarini za juma pili , msaada kile kidude cha kuingizia umeme mita hizi mpya toka juzi hakina network na umeme umeisha kwa yoyote mwenye kujua msaada jama
wakuu za jion.
jmn kuna rafik ang anahitaji msaada juu ya hili..anatumia sim double line bt line moja akieka line ya airtel inakataa kufunguka.
inatuambia tuingize SIM ME LOCK CODE
so ni ipi...