naomba msaada kwenye hii huawei y520-u22

Jan 4, 2014
35
11
habari,ninashida kidogo hapa na huawei y520-u22, tatizo ni kwamba nikiiwasha inaishia pale kwenye logo ya huawei na haifany chochote, nikijaribu kuhard reset kwa button combination inafika mpaka sehemu ya ku wipe data then inaleta "error:cannot get phone encrypt state". nimejaribu mpaka kuiflash kwa sp flash tool kwa kuweka firmware nyingine lakini tatizo bado lipo vile vile, msaada plz
 
habari,ninashida kidogo hapa na huawei y520-u22, tatizo ni kwamba nikiiwasha inaishia pale kwenye logo ya huawei na haifany chochote, nikijaribu kuhard reset kwa button combination inafika mpaka sehemu ya ku wipe data then inaleta "error:cannot get phone encrypt state". nimejaribu mpaka kuiflash kwa sp flash tool kwa kuweka firmware nyingine lakini tatizo bado lipo vile vile, msaada plz

Yaani nikiisikia jina la hii brand napata kichefuchefu ya kwangu Y550-L01 mwanzo hilikuwa hivi hivi nilijaribu kuipeleka iflashiwe kila ikimaliza Ina jizima mwishowe ilikufa moja kwa moja .kiukweli HUAWEI ni brand KUBWA hila siku hizi ubora wa PRODUCTS zao umeshuka hasa SIMU . Cha kufanya we tafuta tu simu nyingine hiyo itakusumbua, siandiki haya kwa kukukatisha tamaa La haula!! , Huo ndo ukweli Mkuu.
 
Back
Top Bottom