habari wadau!!! samahani nimepiga pasport ambazo zinaitaji ukiprint ziwe kwenye karatasi moja pasport kama 40 hivi sasa inabidi kila moja iwe na namba yake jina, jinsia na sehemu ya kusaini mwenye...
wakuu salaam
kuna Kitaa cha kwenye king'amuzi cha azam upande wa kulia kwa Juu pameandikwa LOCK hakiwaki nafikiri ndo tatizo maana king'amuzi hakifanyi kazi.
msaada wenu wadau namna ya...
Kuna thread hapa nilianzisha kuhusiana na tekno yangu aina ya y3+ kuwa na tatizo la kuzima ovyo pindi ninapoicha bila matumizi, nashukuru wadau waluo wengi walinipa ushauri nzuri.
Sambamba na...
Habari wakuu, nilikuwa nahitaji IDM iliyokuwa cracked au downloader nyingine yeyote kwa ajili ya ku download clips online. Hapo kabla nilikuwa na IDM sasa imeleta shida, ilikuwa cracked...
Habari za weekend wakuu?
Najua mnafuatilia mechi vzuri, ila tusaidiane kuambiana App nzuri ya mobile ambayo inadownload torrents faster, tofaut na utorrent na Bittorrent
Asanteni
Kwa taarifa za uakika kabisa ni kuwa kazi ya kuunganisha vituo vyote vya dart kwa mfumo wa computer alipewa vodacom( ???? ). Kilichotokea kila msafiri wa dart anajua jinsi risiti zinavogoma...
Jaman naomben links/websites zinazo onesha onlive tv channel za Tanzania maana npo nje ya nchi so namiss habar na matukio ya nyumban.
Natanguliza shukurani.
Hizi tovuti kwa Uwelewa wangu huwa zipo tofauti, mfano
Ukiona www.qqqqq.co.tz =maana yake ni domain ya Tanzania (.co.tz) yaani Tz kama Tanzania
Kenya vlevle ni co.ke
Uganda ni co.ug
Japan ni...
Habari za asubuhi wanajamii wenzangu, niko na tekno y3+ ila cha kushangaza naweza kuweka kwenye mfuko was suruali matokeo yake naikuta imejizima, mara ya kwanza nilijua ni betri ila nilibadilisha...
Huwa nikiwa nyumba ninayoishi Arusha nikinunua umeme wa luku wa sh 10,000/= napewa unit 28. Nikiwa nyumbani nilipozaliwa Moshi nikinunua umeme wa elfu 10, napewa unit 82. Sielewi hii huduma ipoje...
Habari wana jf nami nimiongoni mwa wale waliofankiw kuroot sm zao na kubalisha muonekano wa sm yang kama apo mnavoona na kuwa na font za samsung
Sasa kwa wale waliofankiwa naitaj msaada namna ku...
Wengi mtanishangaa lakini nimeona maisha ni watu na watu ni sisi.
Nipo mwaka wa kwanza nachukua degree ya Information Technology kama kuna watu wa group la whatsapp au fb waniadd wadau napenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.