gody_emily_mahenge
Member
- Sep 2, 2016
- 59
- 21
http://www.bbc.com/news/technology-39095127
Ni kweli Nokia 3310(mche)inarudi sokoni lkn picha yake niliyoiona siyo hiyo ya Julia,n touchscreen
Mkuu. Sio vizuri.jeneza
Zilikuwa simu haswa kwa kweliCOMING SOOON.........NOKI 3310![]()
![]()
Weka bei mkuuZipo. Wewe sema ipi unataka. Tutakuletea had ulipo. Zipo Mpya kabisa
Hizo Nokia unazo? Weka bei yakeInategemea na aina ya cm..ila ni reasonable
mkuu hii simu ilijulikana kwa jina maarufu jeneza, hukuwahi kusikia hilo jina?Mkuu. Sio vizuri.
Mkuu nataka betri ya jeneza je naweza pata mkuu?Zipo. Wewe sema ipi unataka. Tutakuletea had ulipo. Zipo Mpya kabisa
Zipo chief..Niko njiani natoka dodoma kesho nitakuwa shop nitakujibu mchana.naomba ni inboxMkuu nataka betri ya jeneza je naweza pata mkuu?
Tupe, bei yake mkuuCOMING SOOON.........NOKI 3310![]()
![]()
$50 unazoI want that