Tatizo mfumo wa tiketi DART, serikali kupitia TTCL kutatua tatizo very soon.stay tuned.

danymTZ

JF-Expert Member
Jan 17, 2014
375
568
Kwa taarifa za uakika kabisa ni kuwa kazi ya kuunganisha vituo vyote vya dart kwa mfumo wa computer alipewa vodacom( ???? ). Kilichotokea kila msafiri wa dart anajua jinsi risiti zinavogoma sababu network ni mbovu.Serikali yetu tukufu imeshachukua hatua kwa kuiagiza Kampuni ya kizalendo TTCL, imeshatandaza waya ya fiber kuunganisha vituo vya DART kwa ajili ya mawasiliano ya haraka. Hope tatizo litaisha soon.
"WITO: tujifunze kupenda vyetu,tuwe wazalendo ,tuipende kampuni yetu mama TTCL kwani inakuja kivingine very very soon baada ya kuondoa manyang'au yote yaliyokuwa yanadumaza shirika letu pendwa.
OK
 
mbona nimeona kwenye taarifa ya habari kwamba risiti ni za muda tu sababu wamechelewa kutoa kadi za usafiri, kwamba kutakuwa na kadi ambazo unarecharge hela ukifika pale unachomeka tu inakata nauli na kuingia.

na sababu vile vituo vipo karibu karibu kulikuwa na haja ya kuunganishwa na internet? network ya kawaida (intranet) ingekuwa reliable zaidi kwa mazingira yetu ya kitanzania au kuna matumizi yenye ulazima wa internet?
 
mbona nimeona kwenye taarifa ya habari kwamba risiti ni za muda tu sababu wamechelewa kutoa kadi za usafiri, kwamba kutakuwa na kadi ambazo unarecharge hela ukifika pale unachomeka tu inakata nauli na kuingia.

na sababu vile vituo vipo karibu karibu kulikuwa na haja ya kuunganishwa na internet? network ya kawaida (intranet) ingekuwa reliable zaidi kwa mazingira yetu ya kitanzania au kuna matumizi yenye ulazima wa internet?
Risiti ni za muda mfupi kwasababu mfumo wa kadi unawekwa sawa.
Pia kuunganisha vituo kwa waya za fiber haina maana kwamba ni internet Bali wanaunganisha vituo vyote kwa njia ya mawasiliano ya haraka(optical fibers) then vinaunganishwa na central server.
Huu mfumo ni bora kabisa Hata baadae inaweza kutumika kwenye traffic control ya barabara zetu za dar.
 
Kwa taarifa za uakika kabisa ni kuwa kazi ya kuunganisha vituo vyote vya dart kwa mfumo wa computer alipewa vodacom( ???? ). Kilichotokea kila msafiri wa dart anajua jinsi risiti zinavogoma sababu network ni mbovu.Serikali yetu tukufu imeshachukua hatua kwa kuiagiza Kampuni ya kizalendo TTCL, imeshatandaza waya ya fiber kuunganisha vituo vya DART kwa ajili ya mawasiliano ya haraka. Hope tatizo litaisha soon.
"WITO: tujifunze kupenda vyetu,tuwe wazalendo ,tuipende kampuni yetu mama TTCL kwani inakuja kivingine very very soon baada ya kuondoa manyang'au yote yaliyokuwa yanadumaza shirika letu pendwa.

yaan kila nikisikia vodacom natamani kutapika kabisa hii kampuni ni ya kiwiziwizi na tenda nyingi imepewa kwa kuwa kulikuwa na viongoz waandamizo kutoka huko
 
Risiti ni za muda mfupi kwasababu mfumo wa kadi unawekwa sawa.
Pia kuunganisha vituo kwa waya za fiber haina maana kwamba ni internet Bali wanaunganisha vituo vyote kwa njia ya mawasiliano ya haraka(optical fibers) then vinaunganishwa na central server.
Huu mfumo ni bora kabisa Hata baadae inaweza kutumika kwenye traffic control ya barabara zetu za dar.
............... 98%
 
Back
Top Bottom