Nmepoteza cover ya cd ya windows8 that means nmepoteza pia na code zke za kuniruhusu mm kuweza kuitumia..how can managed to use au kuzipata hizo code zke maana imeishia kati inacommand code ambazo...
Tafadhari Shufu Kichwa cha Habari Hapo Juu,
Naomba Kusaidiwa Kupanga Channel Kwa Jinsi Upendavyo Kwenye King'amuzi cha Azam, Mf. Kwenye Madishi Makubwa Nilikua Nimepanga Channel ya Kwanza1. ITV...
Siyo siri, Kwa sifa hizi Nokia atatake over easily katika soko la simu za mkononi, Hususan Africa,Tanzania ikiwemo. TECNO, ITEL & Co wajiangalie na simu zao ambazo ni overpriced huku zikiwa na...
habari zenu wakuu,
kwanza natanguliza shukurani kwa msaada ntakaopewa,
computer yangu aina ya desktop (HP), pia ina RAM 1GB, WINDOW7, harddisk GB40,
nikiistall games zinagoma kuplay sijui tatizo...
Nimenunua Projector(beamer)
Nimenunua na HADMI wire kwaajili ya hiyo projector
Nimenunua na na kichwa cha HADMI ili niunganishe kwenye
Ipod au tablet lengo nicheze move toka tablet...
Nahitaji Kununua Compyuter Kwaajili ya kufanya Video Editing
#Mwanzo Nilinunu HP yenye 4gb Ram, processer Core Duo 3.00Ghz Hdd 500 Gb
Nimeweka Adobe After Effect CS6 Inakuwa inastak Sa Cjui...
Wadau ninaomba msaada Mara nyingi ninakuta kwenye simu application moja au mbili hazionekani wakati niliziinstall kutoka play store Ila ukiingia setting,apps unazikuta zipo tatizo ni nini!
Wadau kama kichwa kinavyojieleza. Nina simu ya samsung s4 GT-I9500
tatizo lake ni hilo. Mnara unaoneka network imejaa lakini ukijari kupiga inatoa majibu kwamba
Not register on network. Naomba...
Habari wakuu....
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikitumia sizi simu japo nimewah tumia android pia
Nimekuwa addicted Na hizi windows phone, maana Ni simu ambazo sipo smart kuliko kawaida(...
Wakuu nauliza namna ya kuhama mtandao kama ilivyotangazwa.
Je unahama vipi?
Ni nani aliyehama akafanikiwa?
Na je MB za mtandao uliohamia ndo utakazotimia kama umebadili Na umeunga MB hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.