Nahisi nina mikosi na sim za tecno

Nahisi nina mikosi na sim za tecno

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,474
Kuna thread hapa nilianzisha kuhusiana na tekno yangu aina ya y3+ kuwa na tatizo la kuzima ovyo pindi ninapoicha bila matumizi, nashukuru wadau waluo wengi walinipa ushauri nzuri.
Sambamba na hilo, juzi jumapili nilienda kuibadilisha na kuchukua aina hii hii.
Matokeo yake ni yale yale ya sim ya kwanza sasa nimekuja tena kwenu kupata ushauri, je niachane na aina ya tecno nichukuwe kabila lingine au nipotezee tu kutumia touch kwa kipindi hiki?
 
Kulikua na haja ya kuyaleta haya humu!??

Pesa yako,uchumi wako unaujua mwenyewe
 
Kwani simu ni tecno tu, jaribu na nyingine
 
acha na tecno m mwenyewe tatzo n hlo napata shda hamia kampuni nyingine
 
Back
Top Bottom