Mkuu app gani ulitumia kupata hizo fonts za Samsung?
Habari wana jf nami nimiongoni mwa wale waliofankiw kuroot sm zao na kubalisha muonekano wa sm yang kama apo mnavoona na kuwa na font za samsung
Sasa kwa wale waliofankiwa naitaj msaada namna ku update sm yang na app zengine kwa rooted device
Ifonts mkuuMkuu app gani ulitumia kupata hizo fonts za Samsung?
Nipo nje ya mada kidogo ulitumua app gani kuchange hizo font za Samsung
Habari wana jf nami nimiongoni mwa wale waliofankiw kuroot sm zao na kubalisha muonekano wa sm yang kama apo mnavoona na kuwa na font za samsung
Sasa kwa wale waliofankiwa naitaj msaada namna ku update sm yang na app zengine kwa rooted device
Mimi natumia ifont pia ila sijawahi kuziona hizo font samahani unaweza kunitajia jina lake.Ifonts mkuu
Mkuu msaada wa Huawei Y-530, Android Version 4.3, msaada tafadhali namna ya ku upgradeNipo nje ya mada kidogo ulitumua app gani kuchange hizo font za Samsung
.
Kwanza ungesema aina ya simu unayotumia(eg samsung,htc,huawei etc) na version yake (eg:KitKat,lollipop or mashalow) halaf ndo tukusaidie njia ya kuiupgade sababu baadhi ya simu hauwezi kuziupdate unakuta hapo ndo mwisho wake yani ipo limited.
hata mimi nimeiroot pia,Mkuu hi kwa sm ambazo ni rooted
kama simu yako wametoa updates unaweza kuupgrade kwa kufanya hiviMkuu msaada wa Huawei Y-530, Android Version 4.3, msaada tafadhali namna ya ku upgrade
Hakuna kitu kisichobadilishika kwenye Android, Even Rom mtu anabadilisha.Mw font rooted phone ipo play store
Nb: ukibadilisha ndo umebafilisha uwez kufuta
duh ROM unabadilisha je? vipo vitu kwenye android visivyobadilishikaHakuna kitu kisichobadilishika kwenye Android, Even Rom mtu anabadilisha.
Nitajie japo kimoja kisichobadilishikaduh ROM unabadilisha je? vipo vitu kwenye android visivyobadilishika
kama hiyo romNitajie japo kimoja kisichobadilishika
processorNitajie japo kimoja kisichobadilishika
Acha kupotosha uma kitu km hukijui kaa kimya (in an Advance way you can both update rooted & un rooted device)Kamwe huwezi Ku UPDATE/UPGRADE simu ikiwa rooted cha kufanya UNINSTALL ROOT baada ya hapo unaweza sasa Ku update/upgrade simu yako. Ukifanikiwa unaweza Ku install ROOT tena na tena.ni hayo tu mkuu.