Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Mwenye msaada wa tatizo hili. Tablet yangu samsung Galaxy Tab S haiwaki. Inaonyesha giza kwenye screen, ni tatizo gani na nifanyeje kulitatua
0 Reactions
9 Replies
1K Views
TV yangu flat screen imeungua kwa umeme, nimechukua nyngne. Nina wasi kwamba itaungua tena. Je, nitumie mbinu gani isiungue? Nawategemea wakuu.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mtandao wa kompyuta ni kikundi cha kompyuta ambazo zimeunganishwa kwa madhumuni ya mawasiliano. Mitandao yaweza kupangwa kulingana na sifa mbalimbali Makala haya yanatoa maelezo ya ujumla ya...
0 Reactions
20 Replies
48K Views
Habari zenu wadau, husika na kichwa cha habari hapo juu. Machine iwe katika hali nzuri. Kwa mawasiliano 0712687590. Unaweza tuma picha na details ya machine kwa namba hii.
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Habari zenu wakuu....kwa anaeweza kunisaidia ili kujua ni wapi naweza kupata waya wa material ya "zinc". Nimejaribu kuulizia kwenye maduka ya vifaa vya umeme lakini sijafanikiwa na wauzaji wengine...
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Baada ya kupita mikoni mwa unaojiita mafundi simu simu yangu haikamati network ,inatokea inashika na inapata moto. je i aweza kuwa safi tena?
0 Reactions
0 Replies
565 Views
Kama ulikuwa ni fan wa Shazam na umeitumia windows phone, basi utambue ya kuwa utakapo-Uninstall au kureSet Simu yako basi hutaweza tena kuipata kutoka APP STORE. officially kuanzai 7 february...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
App gani ni mzuri baada kuroot simu yangu naomba msaada Kwa hill
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mnaonaje speed ya internet kwa sasa hasa hapa morogoro mimi kiukweli iko slow sana tangu mvua zianze kunya aisee torrents zangu hazijaisha duh halotel,voda,na airtel mnaboa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
DevOps is the procedure in which operations and development team work in coordination in the complete service lifecycle, from design through the development process to production support.In DevOps...
0 Reactions
0 Replies
567 Views
NINA BLOG YANGU ILA NINAHITAJI KUPATA TEFMPLATE AMBAYO ITAKUA SIMPLE HUSUSANI KATIKA UFUNGUKAJI WAKE NIKIZINGATIA WATU WENGI WANATUMIA SIMU..HIVYO MARA NYINGI NINAYOTUMIA IMEKUA NZITO SANA
0 Reactions
2 Replies
702 Views
Habari waungwana, Napenda kushauri kama unaona hauko salama kutokana na hili wimbi la utekaji lililo halalishwa hapa nchini. Napenda kushauri kuwa tununue smart watch (saa za mkononi) ambazo...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Samahani wadau nina simu yangu sumsanga Galaxy Note 2 najaribu kuverify number wakat na install whatsup inanigomea naomba msaada nimejaribu kureboot lakini bado tatizo linaendelea naitaji msaada...
0 Reactions
1 Replies
829 Views
Wanabodi, Nimeangusha simu tajwa hapo juu kioo kimepata ufa ila simu inawaka vizuri tu, Tatizo ni kwamba touch screen inazingua nashindwa kufanya chochote hata kuswipe screen lock. Wakati mwingine...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakuu msaada wenu nisaidieni hiyo tools jamani na password zake ,nicheck whatssap kwa 0629166514.
1 Reactions
0 Replies
519 Views
Model : Hp. RAM : kuanzia GB 4 iz better. Processor : kuanzia icore 3. Hard disk : 500 GB . Size : inch 10 - 15 kati ya hapo.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Thread closed
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina HTC kaiser/ HTC AT&T tilt ya kimarekani, haisapot simcard za bongo, naomba maujuz kwa aliye na uelewa wa ku unlock, ilikua inatumika kwa network za kimarekani ndo mana ipo under AT&T(...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna wakati nilikua nikiwaza juu ya kutengeneza kitu sana sana katika swala la Elimu. Sasa nimefanikiwa kutengeneza app like game inaitwa Endless mathematics quiz, ni app ambayo nimeiweka...
8 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu habari, Samahani, naishi mbagala huku. Jirani naona kaamua kugeuza nyumba yake Kuwa bar. Mziki anazima saa nane, usiku nimejaribu kuongea nae. Sauti ya mziki kapunguza muda mwingine hakawa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom