Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jaman kuna simu yangu inaonyesha hayo maneno nikitaka kuinstall WhatsApp apps, so hata ukibahatika kuinstall bado kupitia WiFi bado kusend text inasumbua. Msaaada tafadhari
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu wa humu, naomba msaada wa simu gani ni nzuri inayopiga picha vizuri maana kwenye simu mimi huwa naangalia kamera na ram ,ninatumia tecno j8 mwanzo ilikuwa inapiga picha vizuri...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Jaman Msaada Wa Haracka nahitaji maelekezo ya Ku Unlock Hii Kitu Thanks In Advance
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari za wakati huu wanajamii, nina tatizo kwa mwenye kusaidia anisaidie tafadhali, nina laptop aina ya dell latiyude E5400, 32bit, hivi karibuni kuna mistari mistar inajitokeza kwenye kioo ikiwa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu natanguliza salam kwanza [emoji117] Naomba tujuzane kama kuna uwezekano wa kurudisha mafaili ya disk tofauti na C kwenye PC, mfano PC ina partition 2 tu means local disc C na D na ikatokea...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Naomba kujua kwa nini nikifungua folder lolote lile kwenye pc,linacheza cheza mwanzo mwisho,hadi nashindwa kufanya kazi,nime install window mpya,tatizo bado,shida ni nini?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mwenye ujuzi au uzoefu au utaalam..anisaidie.. Nimefunga solar panel W150 na W 100 Kwa ajir ya matumiz ya nyumbani kama kuwasha taa..za nje getin n.k Je ni CELL(battery) gan nzuri naweza...
0 Reactions
6 Replies
867 Views
Eti Whatsapp hai support kwenye BlackBerry ?? Naomba ufafanuzi
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Wadau! Natumaini mpo poa na harakati za kimaisha zinaendelea. Hivi karibuni nilikikuta Sina ujanja, ikanidi nilirestore simu yangu (iphone) tukio Hilo lilipelekea kupoteza data zangu zote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nani amekwishatumia simu hizo au hiyo inayotangazwa na azam tv hapa nchini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Simu yangu aina ya HUAWEI Y520 huwa inazima kila baada ya dk 3, hususani nikiwa ninaitumia; ila kama siitumii na nimeiwasha, haizimi. Nimejaribu kufanya factory reset zaidi ya mara...
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Naomba mwenye kujua namna ya ku unroot device anisaidie ili ni unroot simu yangu niweze kutumia new m pesa app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu mwenye idea na Ku unlock keypad phones password kasoro Nokia na samsung
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Wadau nmedownload game tajwa hapo juu ila kila nikitaka niinstall nashindwa mwenye ujuz kidogo tusaidiane. Asante
0 Reactions
0 Replies
433 Views
Tafadhali naomba msaada wenu, nimeenda kwenye setting lakini naona haisaidii. Kwenye setting nimefanya default storage as memory card lakini kila ninachofanya kwenye boom J8 kinajisevu kwenye...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu, Naomba msaada kusend audio tracks through what's app kwenyehii simu
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Kuna program ,unaandika SMS,halafu unabadilisha ,kama ni kichina,France, & etc
1 Reactions
7 Replies
9K Views
wadau ninaomba mnisaidie kwa wale wanaojua, ningependa kufahamu je nikinunua iphone ambayo imeflashiwa (refurbished) inaweza kuperfom kama iphone ambayo haijafanyiwa hivyo? kuna kampuni inauza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana jukwaa habari? Anatafuta android app kwaajili ya kublock incoming sms. najua nyingi zinaweza iyo kazi but zinaweka spam box or blocked box. je naweza pata app (free) ambayo itakua inazi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom