SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,314
- 2,316
Wanabodi,
Nimeangusha simu tajwa hapo juu kioo kimepata ufa ila simu inawaka vizuri tu,
Tatizo ni kwamba touch screen inazingua nashindwa kufanya chochote hata kuswipe screen lock.
Wakati mwingine huwa inajibofya yenyewe so nadhani tatizo lipo kwenye digitizer.
Naomba mnishauri nifanyeje?
Kama kureplace je nitapata wapi hiyo digitizer na gharama inaweza fika Shilingi ngapi?
C.C Chief-Mkwawa ,@godfrey electronics @drphone wengineo msaada/ushauri wenu unahitajika
Nimeangusha simu tajwa hapo juu kioo kimepata ufa ila simu inawaka vizuri tu,
Tatizo ni kwamba touch screen inazingua nashindwa kufanya chochote hata kuswipe screen lock.
Wakati mwingine huwa inajibofya yenyewe so nadhani tatizo lipo kwenye digitizer.
Naomba mnishauri nifanyeje?
Kama kureplace je nitapata wapi hiyo digitizer na gharama inaweza fika Shilingi ngapi?
C.C Chief-Mkwawa ,@godfrey electronics @drphone wengineo msaada/ushauri wenu unahitajika