Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Delivering 5MB hard drive in 1956!! Sources: What a 5MB Hard Drive Looked Like in 1956
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa wataalam wetu wanasema kwamna treni ya umeme ina kasi sana.. Je inatumia vp huo umeme kuwwza kufanya kazi. 1 inatumia umeme kutoka nje? Kama ilivyo majumbani... Na je umeme...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama tittle inavyosema hapo juu natafta kioo cha flat screen yangu inch 32 kampuni ni mo electro...nipo Arusha
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Dell laptop imegoma kuwaka na wala haipitishi chaji. Nilitumia majuzi hadi ikaisha chaji na kuzima kabisa. Sasa leo nimejaribu kuchomeka chaji yake, taa inaonyesha kama chaji inapita lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natumia Toshiba..ina RAM 2gb, processor 2ghz na harddisk 320GB, zaidi za 160gb zipo free, lakini cha ajabu siku za karibuni imekuwa slow sana...karibia kila program inastack, naomba msaada wenu...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Wadau yamenikuta mwenzenu nilikua nikiambiwa sana kuhusiana na adsense kufingia account za africa na especial zinazotegemea traffic ya facebook sasa hatimae yamenikuta wamelamba account yangu...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kiukweli ni lugha ambayo niliitamani na pia naipenda sana!! nna hamu nifike mbali hasa katika software development za simu au komputa!! je mdau uliye soma java, ulisomaje ukai master? je nisome...
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Nina sim aina ya tecno y3 baada ya kuanza tatizo la kuwaka na kuzima bila kumaliza nikaamua kui flash baada ya kui flash nikaja kugundua ile sticker ya imei number kuna baadh ya imei...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
wadau wana jamii naomba App ambazo ni mzuri baada ya kuroot simu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama somo linavyojieleza hapo juu iwapo simu ya android imepotea au kuibiwa na bado ipo hewani ni application gani naweza kujua ipo eneo gani?
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Habari wakuu!naomba msaada juu ya samsung galaxy s3 ambayo nili upgrade kutoka android v4.0 kwenda4.3via odin ila baada yakumaliza inanimbia "emergency call only"na inafull signal na ukifanya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Heshima mbele kwenu wakuu. Hapa mkononi nina hiyo modem ya airtel wingle E82321. Naombaa mwongozo jinsi ya kuifanyaa hiweze suport line zote. ............ Inafungukaa na browser
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tusaidieni jaman maana izi PC za Mac kutumia shida
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nina simu yangu Sumsang pocket S5300 inatatizo Kwenye upande wa kupigiwa simu, mtu akinipigia Namba yangu inatumika muda wote, nikiweka line yangu Kwenye simu nyingine inapatikana...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Nina DVD player yenye tatizo la kutoa nje DVD/CD wakat haujairuhusu.Msaada tafadhal
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu...jamani nisaidieni kupata link za jinsi ya kupata channel za dstv kwenye simu mwenye nazo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu .laptop yangu hard disc imekufa ghafla .pc inaniandikia no bootable device. Nimeiweka kwenye PC nyingine pia imegoma.sasa shida yangu kubwa file za ndani walau nizipate alafu...
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Habari Jamii technology. Kwa anaefahamu naomba anisaidie kuelewa ni nini- Laptop yangu aina ya Acer Aspire window 8 imegoma kuwaka na imechemka sana, mara ya mwisho kuitumia ilikuwa ni jana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom