The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Wakuu habari,
Samahani, naishi mbagala huku. Jirani naona kaamua kugeuza nyumba yake Kuwa bar. Mziki anazima saa nane, usiku nimejaribu kuongea nae. Sauti ya mziki kapunguza muda mwingine hakawa hafiku huko. Ila sasa naona karudia utaratibu wake, na mbaya zaidi kuna walevi wapo karibu dirisha langu wanaongea na kucheka kwa nguvu mpka wamenishtua. Imagine sasa ni saa kumi, na nimelala saa saba.
Swali Langu:
Nauliza kama kuna noise blocking device yoyote naweza kupata kwa hapa tz.
Zinauzwaje na wapi ntazipata?
Samahani, naishi mbagala huku. Jirani naona kaamua kugeuza nyumba yake Kuwa bar. Mziki anazima saa nane, usiku nimejaribu kuongea nae. Sauti ya mziki kapunguza muda mwingine hakawa hafiku huko. Ila sasa naona karudia utaratibu wake, na mbaya zaidi kuna walevi wapo karibu dirisha langu wanaongea na kucheka kwa nguvu mpka wamenishtua. Imagine sasa ni saa kumi, na nimelala saa saba.
Swali Langu:
Nauliza kama kuna noise blocking device yoyote naweza kupata kwa hapa tz.
Zinauzwaje na wapi ntazipata?