Habari za jioni wakuu .laptop yangu hard disc imekufa ghafla .pc inaniandikia no bootable device. Nimeiweka kwenye PC nyingine pia imegoma.sasa shida yangu kubwa file za ndani walau nizipate alafu...
Habari Jamii technology.
Kwa anaefahamu naomba anisaidie kuelewa ni nini-
Laptop yangu aina ya Acer Aspire window 8 imegoma kuwaka na imechemka sana, mara ya mwisho kuitumia ilikuwa ni jana...
wadau nina simu yangu nlichukua kwa mtu ni iyo tajwa apo juu sasa ikawa hai run 3G nkaamua ni hard reset sasa balaa lake ni kwamba after hard reset ku reboot simu ikawa inadai previusly email sync...
Takribani wiki mbili sasa nimekuea nahitaji hili rundo la Haliishi bila mafanikio. Mtandao wa Vodacom hapa Mmeniboa. Huduma kwa wateja hawapokei simu. Mmeshindwa vodacom.
Habari zenu wana JamiiForum.
Polen sana na majukumu.
Nina simu yangu Huawei model Y 330-U110.
Tatizo lake nikitaka kuangalia majina au kuweka vocha yaan nikibongeza application ya CONTACT...
Habari wana jamii..... Nina tatizo hapa wiki iliyopita pc yangu ilikua nikiiwasha inaandika no bootable device nikaweka fresh hard disk ikawaka sasa wakati nafunga bahati mbaya ile hard disk...
Habari za leo wanajamvi? Bila shaka mko njema kabisa baada ya kumaliza shughuli za hapa na pale, hasa ukizingatia asubuhi ndo inatoa picha kamili ya siku.
Turudi kwenye mada, simu tecno y6...
infinix s2 pro is one of the latest and best available phones in the country
phone specification
5.2 inches Display Size
Android OS, v6.0 (Marshmallow)
Octa-core 1.3 GHz
Memory: 32 GB / 3 GB RAM...
Accoint wanakataa kuipitisha sababu iko related na another recently approved account.wameniwekea na email address kabisa ya hiyo account.Nafanyaje wakuu?
nimechukua Visa TravelMoney card pale BancABC ya dollars na kuweka vijisenti. nilikamilisha kila kitu na nilipoenda nyumbani nikaunganisha card na PayPal. tatizo linatokea kwamba haikubali...
Nimeamua kuleta Trackers Tanzania nitaziuza kwa yoyote anayetaka.
Nichombo kidogo tu uanaweza kukishona kata kwenye belt ya Surrualia. Kinatumia GPS, kwa hio kwa kutumia Smartphone Mtu yoyote...
Today, the job opportunities for Linux experts are more than ever. The Linux SysAdmin interview questions range from basic Linux questions to networking, DevOps, and MySQL questions. So, one needs...
Baada ya muda mrefu kidogo nimeamua kurudi kwenye C++ ambayo niliisomaga Uni. lakini niliichukia sana kwa sababu mbalimbali:mad:.
Nimeanza na kitabu kinaitwa C++ Primer Plus (5th Edition).
Au...
Wakuu nimefika bukoba nina kama wiki hivi ila network ni poor yaan sehem nyingi iko poor sana kuna sehem haishiki kabisa yaan inaenda hadi 0.0k/s hata whatsap haziingii text. Skype ndo ukiotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.