Laptop yangu imegoma kuwaka

Nathd

JF-Expert Member
Nov 29, 2016
290
210
Habari Jamii technology.
Kwa anaefahamu naomba anisaidie kuelewa ni nini-

Laptop yangu aina ya Acer Aspire window 8 imegoma kuwaka na imechemka sana, mara ya mwisho kuitumia ilikuwa ni jana usiku ambapo baada ya kumaliza kuitumia niliiweka kwenye charge na Ilipoonesha kuwa imejaa niliitoa na sikuiwasha tena. Ila sasa leo asubuhi naiwasha cha ajabu imegoma kuwaka, nimejaribu kuchomeka charger ili nione kama labda itaonesha mwanga kwamba ipo hai lakini hakukua na response yoyote ile, na nilipoishika niligundua kuwa imechemka sana.

Ila ni kwamba hiyo Jana nilipokuwa nikiitumia ilikuwa ikigoma goma kisha kujizima na kuji restart yenyewe huku ikinipa notification kuwa 'windows are underperforming hivyo inahitaji kuji restart ili kusolve tatizo'
Nilijaribu kuapdate window na baada ya hapo ikaendelea kuwa vizuri mpaka hapo nilipomaliza kuitumia.

Sasa sielewi kwamba-
ndo imeungua hivyo? Au tatizo linaweza kuwa nini? Wataalamu naombeni mnisaidie kwa hilo tafadhali
Inamiezi minne tangu niinunue ikiwa mpya dukani
 
mkuu feni linazunguka au ni zile pc zisizo na feni? cpu ikipata sana moto kuzidi nyuzi iliopangiwa auotomatic hujizima
 
mkuu feni linazunguka au ni zile pc zisizo na feni? cpu ikipata sana moto kuzidi nyuzi iliopangiwa auotomatic hujizima
Ikijizima huwa ndo haiwaki tena?
Yangu itakuwa ina feni maana hapo nyuma haikuwahi kuchemka
 
Sasa boss kwanza naomba utupe model number ya hiyo mashine, mara nyingi kwa acer huwa kunakuwa na kikaratasi kwa upande wa chini ya laptop au upande wa kulia mwa mouse (Touch pad) kwahyo ukikiona hicho kikaratas ebu chek watakapo kuwa wameandika neno ...Acer aspier..........
Ukishindwa kujua model number nayo sio shida, kuna baadhi ya njia za kufanya kama ifuatavyo:
1. kama pc yako ina internal battery basi itakuwa imafanya overcharging kwahyo inatakiwa itolewe kwa mda na mashine ifanyiwe discharge baada ya hapo itawaka freshh.
2. kama ina external removable battery basi hapo kuna kuwa na issue nyingine kama vile electric shock au fail ya kitu chochote ndani ya mashine kwahyo hii itahitaji checking kubwa zaidi. Kama itakusumbua zaidi nichek kwa number 0658020361,... Nipo Ubungo Plaza Dar es salaam.
 
Sasa boss kwanza naomba utupe model number ya hiyo mashine, mara nyingi kwa acer huwa kunakuwa na kikaratasi kwa upande wa chini ya laptop au upande wa kulia mwa mouse (Touch pad) kwahyo ukikiona hicho kikaratas ebu chek watakapo kuwa wameandika neno ...Acer aspier..........
Ukishindwa kujua model number nayo sio shida, kuna baadhi ya njia za kufanya kama ifuatavyo:
1. kama pc yako ina internal battery basi itakuwa imafanya overcharging kwahyo inatakiwa itolewe kwa mda na mashine ifanyiwe discharge baada ya hapo itawaka freshh.
2. kama ina external removable battery basi hapo kuna kuwa na issue nyingine kama vile electric shock au fail ya kitu chochote ndani ya mashine kwahyo hii itahitaji checking kubwa zaidi. Kama itakusumbua zaidi nichek kwa number 0658020361,... Nipo Ubungo Plaza Dar es salaam.
Nimeenda kwa fundi

Ni kwamba motherboard imeharibika
 
Back
Top Bottom