tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Natumia Toshiba..ina RAM 2gb, processor 2ghz na harddisk 320GB, zaidi za 160gb zipo free, lakini cha ajabu siku za karibuni imekuwa slow sana...karibia kila program inastack, naomba msaada wenu nifanyeje? Maana natumia nguvu nying sana kutumia hii laptop