Msaada: App zipi ni nzuri baada ya kuroot simu yangu

Msaada: App zipi ni nzuri baada ya kuroot simu yangu

mgundini

Member
Joined
Mar 18, 2017
Posts
7
Reaction score
4
wadau wana jamii naomba App ambazo ni mzuri baada ya kuroot simu
 
Naomba mwenye kujua antvirusi nzuri ambayo ni kwa rooted android ambayo itawezesha ku track na hata MTU aki factory reset bado unaweza track sim!!,
Zaman avast walikuwa nayo rooted ila Siku hizi sizion, kuna ingine ilikuwepo android lost...ila Siku hizi haina chochote
 
Back
Top Bottom