msaada tecn L8

pipikijiti

JF-Expert Member
Apr 25, 2017
309
406
polen na kaz wakuu kuna tecno l8 hapa inazingua... yan niliirestore sasa inapoanza upya,kwenye primary settings pale mwanzo yan kuselect language unachagua vizuri,ikitoka hapo ileta page imeandikwa select wi-fi network hapo ndo kaz ipo sasa... ambapo kwa kawaida chini inaleta option mbili yan upande wa kulia kunakuwa na alama ‘< ’ yan back na upande wakulia skip sasa cha ajabu hapo option ya skip inakuwa domant yan hawez click kunakuwa na option moja tu ya back yan urud kwenye setting ya lugha... na hyo wi-fi inasearch tu hamna kinachoendelea...msaada tafadhari simu imenunuliwa mwez wa kwanza
 
kama cmu ni ya kwako means una data zote pamojs na google account iliyokuwa inatumika humo, connect hyo cmu kwenye wifi network then itakutaka uingize account iliyokuws inatumika.. ingiza akaunti na cmu itakuwa kama zamani..
 
kama cmu ni ya kwako means una data zote pamojs na google account iliyokuwa inatumika humo, connect hyo cmu kwenye wifi network then itakutaka uingize account iliyokuws inatumika.. ingiza akaunti na cmu itakuwa kama zamani..
Poa mkuu ngoja nijaribu nitakupa mrejesho
 
Back
Top Bottom