Msaada E-Tv na TEST kwenye king'amuzi na Satelite dish

Msaada E-Tv na TEST kwenye king'amuzi na Satelite dish

SG8

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2009
Posts
3,955
Reaction score
2,135
Wakuu naomba msaada nawezaje kupata channel ya E-TV ambayo imekuwa locked kwenye dish. Swali hilo hilo pia kwenye king'amuzi cha Startimes kwa ajili ya Channel Na.49 (TEST). Channel hizi zimefungwa nataka kuchakachua
 
E TV mwanzoni ilikua kwenye nagravision 1 kipindi kile ukiwa unaipata free through free sharing card, kwa sasa kwa wale wenye free to air decoda huwezi kuipata ipo kwenye nagravision 3 ambayo haichakachuliki, vile vile hiyo program haipo kwenye fta decoda pia kuhusu hiyo test(49) that is just card there is not channel there.GUNNEL G MBOYA.
Nawezaje kuipata ngravision 3?
 
Back
Top Bottom