Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimetengeneza toolbar ambayo itakuwezesha kuona channel zaidi ya 7 kutoka katika kila nchi niliyoitaja. Link hii hhapa Welcome to www.givenality.ourtollbar.com
0 Reactions
5 Replies
2K Views
ninawapa link ya software. pia unaweza kurecharge Mobile Partner 16.001.06.01.500.zip
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau naomba mnisaidie anayefahamu symbol rate na frequency za star tv,Itv,Eatv,channel 10 na capital tv kwa satelite anisaidie kunijuza tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
http://youtu.be/EYdXnDGibw4
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Freelancer programmer is needed to undertake below project; it's one developer project and should not take more than 4 weeks. This project will be implemented using WordPress. Project...
1 Reactions
2 Replies
972 Views
Habari wana Jf,kuna software nimeikuta kwenye pc ambayo ime block web browser yeyote kufunguka ili kuweza surf internet,yani huwezi fungua Internet explorer wala firefox wala google...
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Wakuu hii kitu ni balaa, iphone prototype inapigwa mnada ebay, sasa hivi bei imefikia US $999,999.01! OMG Fuatilia mnada hapa; Apple iPhone 4 black APPLE GENUINE PROTOTYPE, TESTER | eBay
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Wakuu na watalaam Je hatuwezi kuwa na animated avatar iliyokuwa created na JF members. Sasa kwa wenye ujuzi au knowledge sijui ni programmers au graphic designers na developer tunaomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Transparent desktops were quite popular year ago. They were followed by all kind of “Transparent Devices” all the way to transparent billboards.So I made a comprehensive collection, and posted it...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Je, nikinunua modem ya Tigo inayouzwa TSh. 30,000 nitaweza kui-unlock na halafu ikafanya kwa line zingine kama modem za voda na airtel BILA KUPUNGUZA SPEED? Kama jibu ni ndiyo nitawaza kununua...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
(CNN) -- Hackers apparently broke into the FoxNews.com's Twitter feed for political news early Monday and used it to announce -- falsely -- that President Barack Obama had been assassinated...
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Wakubwa habar zenu,ninaombeni msaada wenu jaman,ninatumia iphone 3GS,lakini tangu jana hai display chochote nikipiga namba ynagu inaita lakini kwenye screen hakutokei lolote,ndio imekufa au kuna...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimesoma hii habari nimejikuta nacheka sana hasa hilo neno la Performnce enhencing code. kumbe sio drugs tu mpaka code teh teh teh From Barry Bonds to Lance Armstrong, many of the sporting...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, nimepoteza handset yangu ya Blackberry, ipo namna yoyote ya kuitambua inapotumika au kuifunga kabisa ili jamaa aliyeipata asiwe na manufaa nayo?. Providers wangu wanasema wao wananaweza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nina Porn-Blocker ambayo ime-expire, sasa inablock hata programmes zangu za kawaida, nataka kuiunistall lakini nimesahau password, naomba msaada wa jinsi ya kuiondoa please kwa anaefahamu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TUNAZO SOFTWARE MBALI MBALI AMBAZO TUNAUZA, KWA ANAYEHITAJI ANI-PM: - ArcGIS DESKTOP 9.2 -ORACLE 11g ENTREPRISE EDITION -CINEMA 4D v12 -PINACLE STUDIO 14 HD -AUTODESK AUTOCAD V2012 MULTI WIN64...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu, nimepoteza handset yangu ya Blackberry, ipo namna yoyote ya kuitambua au kuifunga kabisa ili jamaa aliyeipata asiwe na manufaa nayo?. Providers wangu wanasema wao wananaweza kufunga sim...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
simu yangu ni Nokia N95 8gb. Toka juzi najaribu kujiunga na ofa ya Dstv kupitia Vodacom ya kuona matangazo ya bure ya TV lakini kila ninapojaribu kujiunga napata maelezo ya 'Not enough Bandwidth'...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Viongozi naomba msaada wenu wa kupata drivers kwa ajili ya "HIGH SPEED EDGE/GPRS MODEM maximum transmitting speed 460.8 KBps". Nimejaribu bila mafanikio kui-google.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kat Hannaford - Antisec, the marriage between similar-hearted outlaws at Anonymous and LulzSec, hit several companies-and police squads!-websites since...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Back
Top Bottom