e2themiza
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 974
- 563
Yap habari zenyu people hv wajameni mie kwa ujuzi wangu nafaham kuwa kuna mitandao ya GSM and CDMA ambapo GSM kuna tigo, airtel, voda
ambapo wana GPRS/EDGE and 3G networks, pia zantel ipo lakini ni GPRS/EDGE pekee and kwa CDMA kuna ttcl,zantel and sasatel.... sasa juzi
nimeconnect modem za vodafone K3570-Z na kutumia dashboard ya JOIN AIR na ikashika 3G ya ZANTEL ikaconnect fresh bila tatizo so how is
possible nao wamejiunga lini au huu ni muingiliano au mie ni upungufu wa juzi wangu juu ya hii mitandao picha iyo apo ya dashboard kuonyesha
ayo ninayo yasema duuuh coz speed yake c mchezo kulinganisha na voda and airtel.
ambapo wana GPRS/EDGE and 3G networks, pia zantel ipo lakini ni GPRS/EDGE pekee and kwa CDMA kuna ttcl,zantel and sasatel.... sasa juzi
nimeconnect modem za vodafone K3570-Z na kutumia dashboard ya JOIN AIR na ikashika 3G ya ZANTEL ikaconnect fresh bila tatizo so how is
possible nao wamejiunga lini au huu ni muingiliano au mie ni upungufu wa juzi wangu juu ya hii mitandao picha iyo apo ya dashboard kuonyesha
ayo ninayo yasema duuuh coz speed yake c mchezo kulinganisha na voda and airtel.