Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ninapoplay baadhi ya nyimbo kwenye computa pale chini kulia naona maneno haya na nnapoyaclick inaonekana kama ni configuration je ni nini hv na nifanyaje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau nahitaji msaada, ni software gani nzuri ambayo naweza kutumia kuflash modem ya zte na kuoverwrite software, kutoa iliyopo na kuweka nyingine.?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Are you familiar with Apple iPad application development? If you have a bit of experience please contact us through info@softlink.co.tz
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Before You Select a Desktop Computer System Looking to buy a new desktop personal computer system? This guide covers many of the basic items to examine when comparing desktop computer systems so...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau hivi ndivyo inavyoniambia comp ninapojaribu kumalizia driver niliyodownload(wifi) kutoka katika dell.com kwajili ya deli yangu d630. Tatizo nini na nifanye nini?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
kwa yeyote anayeweza kunigeneratia unlock key naomba msaad wake hapa!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilisahau mahali charger yangu ya Samsung. Nimenunua ya kichina juzi inafanya kazi ila baada ya muda simu inazima. Unapodhani imejaa unachomoa charger ukiwasha simu bar hazijajaa! Nilipokuwa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dear great thinkers, nina tatizo la simu kutopokea wala kutuma kwa blue tooth. Simu yangu ni iphone4, nifanyeje ili simu hii iweze kupokea na kutuma picha, muziki, n.k. Nisaidieni.
0 Reactions
2 Replies
858 Views
Najaribu ku google nipate picha za mafuriko jijini Dar Es Salaam, naingiza neno "Picha za......" kudadadeki, mambo iliyoniletea imenifanya niachane kabisa na hiyo kitu kwa kuzingatia umri na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa ukipigiwa simu ukapress * mpigaji atashindwa kukata hiyo cm je ni kweli? au njia inayoweza kumzuia mtu kukata simu ni ipi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wanajamii. naombeni msaada. kama kuna anayejua link yeyote inayonyesha live football streaming tv for mobile. hasa ligi ya uingereza
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu, Ni kwa kipindi cha kama miezi zaidi ya minne sasa tangu nimenunua hii simu yangu ya mkononi na tangia hapo nimekuwa ninasurf mtandao wa JF kama kawaida na speed nzuri kabisa. Cha ajabu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni wiki tatu sasa zimepita,nimeshindwa ku unlock facebook a/c yangu ambayo ilifungwa mara baada tu ya mimi kudownload opera mini mpya na kuireplace na ya zamani niliyokuwanayo. Nilipojaribu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanajf, nimeibiwa laptop yangu juzi usiku. Taarifa iko police ila wanashughulikia taratibu wakati kila kitu kiko wazi mpaka namba ya simu ya mwizi ambapo anataka nimtumie laki 5 ktk tigo pesa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Ni kawaida kila mwaka mwezi december ukiitumia vlc player utaiona icon yake ikiwa na kofia ya father x-mas, je uliwahi liona hili?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa anaefaham bei zake na zinapatikana wapi kwa hapa jijini..betri yangu ya sasa inakaa dk 5 tu inazma..
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu ninataka kutengeneza bootable usb flash na sina tatizo na proccess yake, isipokuwa mkononi ninayo windows7 installation disck tatizo ni jinsi gani nita copy mafaili ya windows7 kutoka kwenye...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wana jf habari zenu,nina moderm ya sasatel ni zile ambazo hauweki line(in built line),sasa nahitaji kuiunlock ili nitumie line zote,wanaziita cdmi(kuna mtaalam kaniambia jina hilo) nifanyaje wakuu.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina laptop aina ya hp compaq mini 110c-1120ei sim card inbuilt modem na nimagundua ina sehemu ya kuweka sim card but bado sijaelewa how to use it or what kind of programs/driver should I have in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jf mi nina phone ya nokia X-02 hivi unaweza kunisaidia how can i make settings ili niweze kuangalia YOUTUBE. This is serious please.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom