trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Nilisahau mahali charger yangu ya Samsung. Nimenunua ya kichina juzi inafanya kazi ila baada ya muda simu inazima. Unapodhani imejaa unachomoa charger ukiwasha simu bar hazijajaa! Nilipokuwa na charger original ilikuwa inafika siku 5 sijachaji simu.Sasa hivi kila siku 2 nachaji!