Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

msaada window 7 kila nikizima na kuwasha haisave changes inasema temporary desktop yaani hata nikisave kitu ktk desktop nikiwasha kinafutika na pia screen saver vile vile.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wanaotumia Firefox au Chrome: type kwenye google search: 'let it snow' au 'Do a barrel roll' uone mbwembwe zake. Nawatakieni siku njema.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nna printer ambayo ina siku mbili tu. Walinipa wino wa kuanzia<cartridge>, lakini cha ajabu umetoa copy zisizozidi 40. Je naweza tumia wino wa maji? Kama ni ndiyo, nitaweka kwenye hzi cartridge?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nataka kubadilisha OS kwenye my laptop kutoka window XP to window 7 Sababu: Hii window XP kama imekaa kizaman zamn afu imecorrupt ama kuna file zimemiss so inazingua... Msaada:Nani anaweza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
WanaJF wenzangu mambo vp? Natumai mu wazima,kwa wanaosherehekea sikukuu ya krismas mambo yanakwenda sawa. Naombeni kuuliza kwa wanaofahamu ni browse gani iliyo nzuri kama ilivyokuwa BOLT au zaidi...
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Wakuu sign ya at(@) imehama imehamia sehm ya sign hii(") hii inatokana na nini? Na ntasolve vp hl tatizo?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimedownload LCG JUKEBOX nikapewa trial kama dakika 5, baada ya hapo nikatakiwa kuweka unlock! Naomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia unlock key anisaidie! Natumia nokia 5320 xm(s60 v3)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
IP-Tools offers many TCP/IP utilities in one program. This award-winning program can work under Windows 98/ME, Windows NT 4.0, Windows 2000/XP/2003, Windows Vista and is indispensable for anyone...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Jamani naomba kujua ufanisi wa hii simu(inaitwa IDEOS-GOOGLE) inayouzwa na Tigo...kwa yeyote aliyewahi kuitumia.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuuwa wa mambo ya ghraphics na card design Napena kujua ni application gani au software gani zinazotumika kutengenza card nzuri za harusi na shere nyinginezo ama Mwaka mpya , siku ya...
1 Reactions
15 Replies
14K Views
Nijulisheni waungwana je ni TV set zipi zina built-in decoder? maduka ya hapa TZ.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salute kwenu wakubwa, ninamkanganyiko na hii moderm (zte: ya vodafone) yangu, pindi ninapo ichomeka kwenye laptop yangu inaanza mchakato ikitaka kufunguka inaandika "rolling back" alafu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau kuna njia yoyote ya kurudisha mafail niliyodelete kwenye removable disk(eg memory card)
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau kuna hii kitu inaitwa Sema na Airtel inakuwezesha kutuma sms free kwa mteja wa Airtel aliyejiunga kwenye hiyo service (yes ni 0Tsh/SMS) Kujiunga Kujiunga unatuma sms neno Jiunge unaacha...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu? Mimi ni mmoja wa waathirika wa hizi mvua, na imetokea P2 imelowa upande mmoja. Kuna wanaonambia eti imeshakufa. Jamani hli lina ukweli?
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Lenovo X300 vs. Apple MacBook Air... Fight! By Thomas Ricker As long as Lenovo is drawing a direct comparison between their own X300 and the MacBook Air, we thought we'd go ahead and put...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu kuna madhara gani ya kuzima pc kwa ku-hibernate badala ya ku-shutdown?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nimejaribu kuitafuta window media player kwenye machine haipatikani!sasa kama imefutwa,ntaipataje wakuu!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu nawezaje kuitumia laptop yangu kujipatia kipato pindi nitakapokua mtaani baada ya kumaliza chuo?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WADAU ILE OFA YA USIKU YA NETI MB2OO YA AIRTEL IMEKWISHA AU VP? MANAKE LEO NAONA LINE YANGU MB ZINALIWA TU:shock::A S embarassed:
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom