Isaac Chikoma
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 475
- 101
Wadau nahitaji msaada, ni software gani nzuri ambayo naweza kutumia kuflash modem ya zte na kuoverwrite software, kutoa iliyopo na kuweka nyingine.?
Join air naiaminia sana ila wht to do ni ku exit software ya modem ili ibaki active join air pekee! I believe join air haina tatizo ila hau exit modem s/w ndo maana j. Air inakuzngua.
ukifuta dashboard utapoteza drivers. but you may try and post results. happy landing!!!!!!!!!!
inamaana kwamba reprogramming ya flash haiwezekani,yaani ureplace firmware iliyopo ndani uweke nyingine kabisa ambayo itakuwa inadetect ukichomeka.
Kamchezo ka hatari hako kaka unaweza kuiua kabisa modem yako.
Jaribu kwenda kwenye prefference na setting kwenye join air jaribu kucheki labda kuna setting haziko sawa, labda umeweka iconnect na 3g tu kama ulipo haipo itagoma nk.
Pia jaribu ku unistall kisha install tena join air
Kwa ZTE zile za vodafone au?! Kama jibu ndiyo tumia join air kama default software ya kufungulia hiyo modem then nyingine inayokuja na modem fanya kuitoa.Wadau nahitaji msaada, ni software gani nzuri ambayo naweza kutumia kuflash modem ya zte na kuoverwrite software, kutoa iliyopo na kuweka nyingine.?
Kwa ZTE zile za vodafone au?! Kama jibu ndiyo tumia join air kama default software ya kufungulia hiyo modem then nyingine inayokuja na modem fanya kuitoa.