Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

nikiwa kama software developer huwa sifurahii kuiba kazi ya mtu. Watanzania huu ni ugonjwa sugu japo upo dunia yote. Hivi mtu ameajiri watu wakatengeneza kazi wanauza halafu we unachukua pirated...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Exclusive Preview on iOS 5 - YouTube
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada waatalam. Je inawezekana dish moja na decoder moja ikahudumia apartments tano mfano. Taratibu ya malipo vipi ie yapo malipo ziada?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UKIELEWA HII KITU USISITE KUTUSAIDIA NA SISI!!! jamani wanajamii kuna post ambayo nadhani wote ambao bado hamjaisoma mtaipenda tatizo ni kwamba nimeshindwa kuielewa vizuri ndio maana nimeamua...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
nashindwa play music on ubuntu 10.04
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Upo na Computer yako(laptop au desktop).Unaandika mchango wako au mada flani ktk mtandao wa JF.Unaipitia mara mbili mbili au tatu ili kusahihisha makosa ya kiuandishi.Unasahihisha na kujiridhisha...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Leo nimeibiwa laptop na simu yenye laini ya Tigo mpaka sasa iko hewani. Naomba mwenye ujuzi wa haya mambo tuwasiliane. Help pls !
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nisadiwe ni prigram gani natakiwa kudownload ili kuweza iphone kushika radio mbali mbali
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau naomba msaada wenu,ninaomba kujua kama kuna yeyote mwenye maujuzi ya kuchakachua moderm ya vodafone k3571-z animwagia msaada
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Binafsi ninaamini kila mmoja wetu ana ndoto ya kumiliki nyumba yake.bahati mbaya hapa ni kwamba si wengi sana wanaishi na kuitimiza ndoto hiyo..lakini unaweza kupunguza gharama za majenzi kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sony kiukweli sasa wanataka ugomvi na Microsoft walipoamua kuleta next generation gaming console to the market. Wakati Playsation 3 ilipozinduliwa miaka 5 iliyopita(halafu sisi huku eti zimeanza...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
salama wakuu? mimi nilikua na idea kwanini watu watu wa IT tusifanye michakato yakutengeneza ka app ka jf kwenye formats kama jar,symbian,android etc.(kwenye simu) ili iwe haina haja yakuingia...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu naomba msaada wenu.nimeshatuma zile za wap and then wamedai cm yangu haisupport nifanyeje?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu nawaombeni munisaidie kiufundi kuna Mtaalam yoyote hapa jamvini anayeweza ku Hacker mashine yangu ya game inayoitwa Sony Playstation 2 ? ili iweze kufanya kazi hata kwa kopi za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana jf, natumie Nokia E50, nilishawah install nimbuzz, lakn ikafutika, now dayz nikiingia kwny web yao, nkiclic download now , haifuction . Msaada plz.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dear members nina iphone4 version 4.3.5 nataka kui-jailbreak..kuna anaejua fundi gani mzuri hapa dar wa kufanya hii kazi?. Pia nimesikia hiyo version ukijailbreak simu ikizima lazima uiwashe kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mm nina modem ya airtell so ili kutaka kuchakachua ni mambo yepi muhimu kuwa nayo kama software ipi ni download baaadae ili niendeleee na hatua nyengine. Thnx
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Nimeistall timewatcher kwenye netcafe ambayo computer moja ni admin na zingine ni client sasa kila ukizima comp ukiwasha keso prog inasema no feedback ktk computet ambayo ni admn ukicheck comp...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Am fail to access yahoo web using my phone since morning. I do no what is the matter ?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu simu yangu inagoma kupokea na sms za kampuni ya Tigo na nikijaribu kuregister sms center mamba yao yaani +255713800880 inagoma simu yangu ni aina ya TECNO ya kichina , lakini mitandao...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom