Msaada bei ya betri ya laptop dell latitude d630..

sijui nini

JF-Expert Member
Sep 29, 2010
2,553
1,285
Kwa anaefaham bei zake na zinapatikana wapi kwa hapa jijini..betri yangu ya sasa inakaa dk 5 tu inazma..
 
bei inaweza fika hadi laki na nusu, kwa posta tembelea maduka ya computer karibia yote utapata.
 
Yangu ilikuwa inasumbua last month, nikaenda kwa dealer akanambia nimpe US $ 100 aniagizie(kama tshs170,000). Baada ya wiki 2 niliipata...
Labda kwa huko Dar zinapatikana moja kwa moja dukani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom