sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Kwa anaefaham bei zake na zinapatikana wapi kwa hapa jijini..betri yangu ya sasa inakaa dk 5 tu inazma..
bei inaweza fika hadi laki na nusu, kwa posta tembelea maduka ya computer karibia yote utapata.