Nina flash drive sony, ukiiweka kwenye system inasoma kama RAW type file system.ninahitaji msaada wa kuiformat au kubadili file system to fat32,nimejaribu, dos commands chkdsk x: /f...
Nimenunua nikia c3 lakini tatizo nashindwa kupata software ya kusoma pdf nimehangaika net nikapa ez lakini bado ikawa haisomi pdf nkaja nkapata pdf.R nayo ndo kwanza inataka keys plz naomba...
wana jf naomba msaada kwenu naishi kijitonyama nimekuwa natumia modem ya airtel lkn internet hivi karibuni imekuwa slow hasa wakati wa ucku mchana kidogo afadhali
Wadau habari,naombeni msaada wenu,natafuta modem kwa ajili ya matumizi ya internet ya airtel,nimetafuta sana kwy maduka yao lakini wanadai hawana kwa sasa,au naweza kupata wapi modem ambayo ni...
Nimejaribu ku-google lakini bado nipo njiapanda. Kwani kila kompyuta inapo-boot, antivirus inanipa options za kufungua "wusa32.exe", in sandbox,normally au cancel opening.
Wanajamvi napinga piracy hasa ya kazi za watanzania lakini pia napinga watu wanajifanya wako kifua mbele kupinga piracy inayoweza kuwa mkombozi wa taifa letu.
Mfano. Shule na vyuo hazina...
wataalam naomba msaada wa haraka nina sony ericsson k800i ambayo kabla ya kuiflsh nilikuwa napata internet vizuri lkn baada ya hapo nikijaribu ku-google kitu chochote inasearch kwa muda mrefu...
wakuu kwenye pc yangu natumia kaspersky ant virus,lakin naona mda wake uko mwishoni, sas nahitaji msaada wa jinsi ya kuikeep all the time running na sihitaji kupurchase license kam ilivyo..nataka...
Wakuu nina frash yangu ambayo imeanza kunizingua baada ya kumuazimisha mtu mmoja lakini sahivi kila nikiichomeka kwenye pc yangu inanipa hii message'' you need to format the disc in drive G...
Wakuu naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye kujua ni wapi naweza pata/down load engine electrical wiring.
Mchoro wa engine model :1KZ-TE, 1JZ
kuna gari ilipata ajari so wezi waliiba baadhi ya...
niliweka applicatioo ya theftaware(find me) kwenye simu yangu,na ikawa inafanya kazi vizuri cha ajabu kuanzia jana,hata bila kubadilisha simcard inatuma s ms ovyo tu,wakati ilitakiwa ifanye hivyo...
Duh aiseee!! Lap yangu bana imepigwa na mafua kidogo, display imekufa, so coz ina warrant basi nimeisafirisha kidogo, so kwa sasa Napata shida kidogo kuingia JF hasahasa hili jukwaa letu.
Anyway...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.