Je kuna uwezekano wa kurudisha deleted file from removable disc?

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Wadau kuna njia yoyote ya kurudisha mafail niliyodelete kwenye removable disk(eg memory card)
 
Kwa haraka haraka kwanza fungua uone kama lipo kwenye recycle bin, kabla hatujaendelea na further steps ...
 
Yes it is possible hata kama ungekuwa umeformat removable disk yako. na huduma hiyo ya data recovery inatolewa na kampuni ya Young Master Supplies and General Enterprises. Kwa maelezo zaidi wasiliana nao kupitia namba +255789 884 221 or e-mail: youngmasterent@gmail.com
 
Wadau kuna njia yoyote ya kurudisha mafail niliyodelete kwenye removable disk(eg memory card)

Yes. Kuna program moja ya kurecover deleted files. Nilikua nayo ila nimeisahau jina. You may use google search with such keywords.
 
Click start,

Go to RUN (you may type it to get it easily) then type cmd and then press enter

then change the directory (I mean type cd ) go to the directory of your flash drive then type ATTRIB -S -H *.* /S /D press enter..

Wait for a minute if the directory appear, type exit then open your flash drive you'll see your deleted files
 
Click start,

Go to RUN (you may type it to get it easily) then type cmd and then press enter

then change the directory (I mean type cd ) go to the directory of your flash drive then type ATTRIB -S -H *.* /S /D press enter..

Wait for a minute if the directory appear, type exit then open your flash drive you'll see your deleted files
good work
 
Sure ni rahisi sana. Software za kurecover zipo nyin ila search software inaitwa active file recovery.
 
yeah its possible waweza tafuta recovery software here Recuva . Ila avoid kuingiza new data before recovery sababu zinaenda kuoverwrite zile file.
 
Back
Top Bottom