Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

There is many web site provide us to send free emails. Gmail, yahoo and hotmail those websites are very popular. By using these site we can send and receive emails. Here we are going to discuss...
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Teknolojia wiki hii BONYEZA HAPA BBC Swahili - Habari - Teknolojia wiki hii AU HAPA http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/11/111026_teknolojia_facebook_video.shtml AU HAPA BONYEZA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba mtu mwenye microsoft visual studio / vb 6.0 setup anisaidie yangu imecorrupt
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nini kipo behind the scene ktk huu mchezo wa vocha ktk mitandao yetu hapa Tz??kuna wadau tyr washafanikiwa ku'hack'????
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau google imetoa os mpya ya android na iko ndani ya simu mpya ya samsung galaxy nexus. Japokuwa samsung wamesema wata update samsung galaxy s2 mwanzoni wa mwaka 2012 je kuna mtu ameweza...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Natumia simu aina ya NOKIA 6200 wakuu katika cm hii kuna mahali pa kuifanya kama pcmode lakini nashindwa kutoa michango kupitia mtindo huo.Kwa hiyo naomba kufundishwa matumizi.Sasa natumia upande...
0 Reactions
2 Replies
998 Views
ndugu wadau Laptop yangu iliingia maji ya kutosha tu nikaipeleka kwa fundi anifanyie marekebisho, Kuwaka imewaka lakini kioo kinaonyesha kwa mbali...what are the implication guys
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kuelimishwa jinsi ya kuchakachua safaricom E173 customized firmware permanently
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nisaidieni kutoa avast kwenye laptop,nimeenda control panel kuliko programs sijaiona.Sijajua itakuwa wapi,msaada plse! Nawasilisha!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naombeni msaada jamani.Pc yangu haitaki kucopy kitu chochote.Ukicopy wakati una paste ina stak na mchezo unaishia hapo hapo. JE tatizo ni nini?NI DESKTOP DELL GX 270...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu wa JF ! Am looking to study into AUTOCAD, REVIT and 3ds MAX. Plz tell me any organization who can teach me, or a teacher who can teach ? PLZ PM !
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Please click the links below: Particles found to break speed of light | Reuters CERN observes sub-atomic particles travelling faster than light - The Frontline - a blog from V3.co.uk
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Kama una tablet au simu ya android , bila kusahau internet inayoeleweka unaweza ukafurahia kuangalia TV online. Uzuri wa hii app (tofauti na nyingine nyingi) haikupeleki kwenye website za...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
WanaJF mambo vp?natumai hamjambo.Jamani naomba kuuliza kwa sisi tunaotumia simu kwenye facebook ni browse ipi iliyo nzuri kama ilivyokuwa BOLT maana ulikuwa na uwezo wa kuona ni nani aliye ONLINE...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimewahi kusikia kuwa NBC wana huduma ya kufanya trunsactions kwa kutumia simu ya mkononi. Kama ni kweli anayefahamu atujuze namna ya kujiunga. Wenzetu wa CRDB wanajiunga kwa kupiga *150*03*
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nahitaji msaada kwa yeyote anafaham vizuri anielekeze! Nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio! Natumia temboCARD MasterCard!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada ktk hili; nilikutana na lenovo X300 ikiuzwa nikaipenda kwa properties zake( 2GB RAM, 200 GB HD, webcam, dvd burner etc) nikamnunulia ndg yangu lakini yeye hakuipenda kwa...
0 Reactions
2 Replies
880 Views
Chondechonde wadau wa hii forum,natafuta display/ screen /kioo cha laptop yangu dell inspiron 1464 mwenye kujua nakoweza kupata anijulishe tafadhali.kilichopo kimekufa .asanten
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Wadau natumia laptop aina ya ( hp compaq ) q40 hapo nyuma iliwah leta usumbufu fund akanibadilishia window akaniwekea hii window imeandikwa (vista busness) naona kama si nzur kwasabu webcam(...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom