Laptop ikiingia maji...

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Wakuu habari zenu? Mimi ni mmoja wa waathirika wa hizi mvua, na imetokea P2 imelowa upande mmoja. Kuna wanaonambia eti imeshakufa. Jamani hli lina ukweli?
 
Wakuu habari zenu? Mimi ni mmoja wa waathirika wa hizi mvua, na imetokea P2 imelowa upande mmoja. Kuna wanaonambia eti imeshakufa. Jamani hli lina ukweli?

inategemea. Inaweza ikafa au ikapona. Cha msingi ipeleke kwa wataalamu kabla ya kufanya chochote.
 
Usiiwashe kabisa, mpaka ifunguliwe ikaushwe maji yote, kuna uwezekano mkubwa kuwa itafanya kazi ikikaushwa kabisa maji kabla ya kuwashwa.

Pole na maafa.
 
We kweli we ni never give up hiyo battery imekuwa battery za radio kwamba zitavuja

Battery ni muhim kutolewa kwan ikiachwa itaendelea kufanya uhalibifu kwenye circuit.

Mkuu fanya mpango wa kuisafisha kisha ikaushe.
 
we mtu wa ajabu

Kweli yeye anajua Radio tu.

It once happened to me and I was able to solve the problem by removing the battery as early as possible then dry by blowing the laptop using fan.

LAPTOP/SIMU E.T.C IKIINGIA MAJI; TOA BETRI MARA MOJA NA JITAHIDI KUIKAUSHA KWA HEWA/BLOWER NA KAMA MAJI NI MENGI SANA LAZIMA IFUNGULIWE NA IKAUSHWE SAWASAWA THEN ITAKUWA OK.

KAMA ULICHELEWA KUITOA BETRI NI BORA UKAIPELEKA KWA FUNDI KWANI KAWAIDA LAPTOP HUFANYA KAZI HATA KAMA IMEZIMWA SI SHORT CIRCUITING YAWEZA KUWA IMETOKEA.
 
Toe betri na angalia kama. Kuna kitu kingine chochote unaweza kufungua upande uliotoa betri na ukarudisha kama hilivyo bila kukorofisha kitu chochote.

Baada hapo chukua blow dryer tumia kukaushia upande ule ulitoa betri kwa mda wa kutoasha inaweza kuwaka.

Mie yangu iliingia maji na nikafanya hivyo ikawaka kama kawaida. Dogo aIimwagia maji ikiwa on na screen ilinipa warning na nikawahi kuzima.
 
We kweli we ni never give up hiyo battery imekuwa battery za radio kwamba zitavuja

fanya zoezi dogo tu, laptop ikiwa imezimwa chomeka charger/adaptor uone kama haitaendelea kucharge battery! Mfumo wa umeme upo active wakati wote kwenye machine hivyo hata maji yakiingia yanaweza kusababisha short ktk circuit
 
toa battery na kama ikiwezekana fungua utoe battery memory kuepusha circuit short
 
nimeshangaa kuhusu battery kwa sababu ushauri ninaouona ni wa ''kutoa battery' hivi hamna altenartive nyingine zaidi ya battery. Nitarudi baadae
 
bora we yako imeingia maji nusu, Me yangu nimeikuta imekaa kama masaa mawili yaan kama nguo imerowekwa vile...nikainyanyua kisha nikawa naicheki inavyochuruzika mimaji (tena mimaji michafu)...
 
nimeshangaa kuhusu battery kwa sababu ushauri ninaouona ni wa ''kutoa battery' hivi hamna altenartive nyingine zaidi ya battery. Nitarudi baadae

Hiyo ni kama huduma ya kwanza kufanyia kifaa chochote cha kielekriko kikiingia maji.
Pili mbona amepewa ushauri mwingi wa nini afanye hadi video kawekewa lakini wewe unaona kutoa betrii tu.
Au ulisha kariri ni redio tu inayotolewa betrii ikiingia maji?
 
nimeshangaa kuhusu battery kwa sababu ushauri ninaouona ni wa ''kutoa battery' hivi hamna altenartive nyingine zaidi ya battery. Nitarudi baadae

Ushauri mwingine mzuri ambao umenijia baada ya kuitazama avatar yako ni, itafune uimeze yote laptop na battery yake.
 
Back
Top Bottom