Wadau kuna hii kitu inaitwa Sema na Airtel inakuwezesha kutuma sms free kwa mteja wa Airtel aliyejiunga kwenye hiyo service (yes ni 0Tsh/SMS)
Kujiunga
Kujiunga unatuma sms neno Jiunge unaacha nafac unaandika jina unalotaka kutumia halafu unatuma kwenda namba 2011.
ikiwa successful utapata SMS ya kuthibitishwa kujiunga. Kwa hiyo kama mimi ndo najiunga naandika sms JIUNGE TK then natuma kwenda 2011.
Namna ya kutumia
Kutumia sharti huyo unayechat nae nae awe amejiunga, unaandika sms kwa kuanza na jina lake analotumia unaacha nafasi unaandika maneno yako then unatuma kwenda 2011.
Kwa mfano kama Malaria sugu kajiunga so nita sms Malariasugu habari yako? then natuma kwenda 2011​....yeye MS ataona tu Maneno habari yako na kuendelea. Kwa kweli haka kahuduma ni kazuri hasa kama ni denti maana madenti wanapenda sana chatting sasa na vocha zenyewe wakati mwingine ni mtihani!
Ni hayo tuwadau
Kujiunga
Kujiunga unatuma sms neno Jiunge unaacha nafac unaandika jina unalotaka kutumia halafu unatuma kwenda namba 2011.
ikiwa successful utapata SMS ya kuthibitishwa kujiunga. Kwa hiyo kama mimi ndo najiunga naandika sms JIUNGE TK then natuma kwenda 2011.
Namna ya kutumia
Kutumia sharti huyo unayechat nae nae awe amejiunga, unaandika sms kwa kuanza na jina lake analotumia unaacha nafasi unaandika maneno yako then unatuma kwenda 2011.
Kwa mfano kama Malaria sugu kajiunga so nita sms Malariasugu habari yako? then natuma kwenda 2011​....yeye MS ataona tu Maneno habari yako na kuendelea. Kwa kweli haka kahuduma ni kazuri hasa kama ni denti maana madenti wanapenda sana chatting sasa na vocha zenyewe wakati mwingine ni mtihani!
Ni hayo tuwadau