Wakuu msaada pls.Natafuta fundi specialist wa Mitsubishi Pajero au Dealer/s wake walipo kwa hapa Dsm. Pili mwenye ufahamu juu ya uimara wa hizi gari plllzzz anijuze. Natanguliza shukrani.
Wakuu mambo vp? nimetumia samsung galaxy kwa mda mrefu ila kwa sasa napenda nibadilishe aina ya smartphone nitumie HTC, nani ametumia hizi aina zote za smartphone anijulishe km znalingana ubora...
Naamini hili wazo sio mimi tu binafsi ambaye ninalo, no ni watu wengi.
Sikuwahi jijengea mtizamo wakuamini hivi lakini kwa sasa Tz sioni mtandao mbovu kama TIGO, hakuna kabisa.
Bora mtandao uwe...
Habari wana jamvi.
Kuna kitu kinanitatiza, hivi hizi bullet proof zinatengenezwa kwa material gani.?
Maana kuna vioo ambavyo ni bullet proof....
Kuna vest, ambazo wanavaa hata makomandoo, au...
Habari za kazi wakuu, tatizo langu ni kuwa na huawei p7 ila ina tatizo la kupoteza network after a short time nimejaribu ku apdate to the latest firmware but still the problem persist chief mkwawa...
Gari yangu Mitsubishi pajero inayotumia injini ya 4D56 imeua injini mara 2 ambazo kimsingi inazungusha mkono namba 1 mpaka block inalika kidogo kitu ambacho inakuwa vigumu kufanya repair. Kuna...
Dual-SIM Asus ZenFone Go 4.5 launched for Rs. 5,299 ($80)
by: ROB TRIGGS
DECEMBER 28, 2015
977
65912
Asus Zenfone Go 4.5
Cost effective smartphones have become big business in India and Asus has...
Habari mimi ni blogger na nahitaji template kama hii For New Hip Hop music, Hip Hop News & all things Rap & Hip Hop | HipHop DX so nmeona niilete hapa may b naweza pata anayeweza kazi hii. kama...
Wakuu heshima kwenu. Nina jambo ambalo halinizuii mi kufanya shughuli zangu kwenye simu yangu lakini huwa silipendi. Kama kawaida kukiwa na version mpya kwenye application unakuwa notified ili...
Hivi Hizi VPN apps Tunazozikuta Play Store zinafanya Kazi kweli Kama Zinavyoelezewa.. Hasa Katika Sekta Ya Privacy....
Nakumbuka Troid VPN niliitumia Kipindi Kile Cha Basi Jekundu kupanda...
Habari wakubwa na wadigo.
Back to point. Nimedownload Microsoft office 2010 from getintopc.com link iliyotolewa na cheif-mkwawa
But shida inakuja wakati wa kuinstall maana inaenda mpaka...
Ninatumia desk top aina ya HP.
shida yangu ni kwamba nikiwasha naambiwa kupress f1 to save changes na baada ya hapo ingtumia muda mrefu sana kuwaka. Naomba mnielekeze jinsi ya kutatua tatizo
nina simu aina ya tecno h5 tatizo lake ni DATA CONNECTION ukizima huwa inajiwasha yenyewe . ukiweka off ndani sikunde kadhaha itakuwa/ on naombeni msaada wa kuzima data
Wakuu viwango vya ufahamu vinatofautiana. Nomba kufahamishwa tofauti kati ya Tablet na Phablet. Pia naomba kujuzwa ni aina gani ya Tablet na Phablet ni bora na ni bei nafuu
Heshima kwenu wakubwa!
Nahitaji kununua XBOX 360 controllers kama hautumii tena hata kama ni used, iwe tu inafanya kazi vizuri. Tafadhali nitumie ni-PM ahsanteni sana.
Shukrani!
Enyi wakuu,wataalamu wa software,nipeni elimu nini tofauti ya kitkat na lollipop na faida au hasara zake.Nataka kubadili simu zangu kutoka kitkat kwenda lollipop,nifanyaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.