Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kwann hii process inakuwa na kazi kubwa wakati computer haina kazi yyt ile. Tatizo hili nimeliona kwenye windows7.
0 Reactions
1 Replies
900 Views
wakuu habari zenu naombeni msaada naitaji kupata application inayoweza nisaidia kirecovery sms zilifutika kwenye android device ambayo ni samsung galaxy note 4
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za jioni nimepata kununua simu tajwa hapo juu ila nina mashaka nayo kidogo before nilikua natumia Galaxy s4 camera ya s4 naiona mzuri kuliko hii note 2 pia kinginge application zake...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayefaham jinsi ya ku root huawei y300 naomba anielekeze jaman. aksanten
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu simu yangu ya tecno m9 nikiwa naitumia inagoma na kustack na kuniandikia pale chini Exit..........................x nimeirestore factory lakini bado tatizo halijaisha msaada tafadhali...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kwa yeyote aliye na game hiyo ambayo imekuwa HACKED naomba anitumie link yake hapa naitaman sana hiyo game asanteni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Msaada nna simu lg g2 Model D 802 Made in korea Haisomi mtandao wa 3g nnapoweka setting za 3G, Mwenye kujua utatuzi wa jambo hili anisaidie
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekumbana na hii kitu kwenye simu ya tecno P5.Kuna apps kibao zinaji-install zenyewe bila ridhaa yangu plus siwezi kufanya lolote,kuandika sms tu inakuwa shida kwasababu ya interference ya hizi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama una link ya Whatsapp tofauti na Gbwhatsapp yani kama Yowhatsapp,whatsmapp solo na Plus ambazo hazija pigwa burn naomba uni direct nika install @kcamp @Mwl.RCT
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza niambie upo karibu na jengo, hotel au chuo gani lenye/chenye wifi iliyo na password search katika simu yako nipe jina la ilo jengo nitakupa password yake na...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Nahitaj cm bora yenye gharama (bei) ya kawaida yaani kati ya 100000 na 150000/=. Je ni aina gani ya cm wadau inafaa zaidi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
I was asking for a blog niche available in Tanzania at this moment. Since there are many blogs with same contents. Your views are very important you are welcome.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu simu ya wife haitaki kuconnect email baada ya tu ya kuremove email ya mwanzo pia hali ni ivo ivo playstore inaleta ujumbe huu ni hivi vya voda smart kicka
0 Reactions
2 Replies
867 Views
This is the leaked firmware which is very close to the final build, which means that there will be no additional features included in the Android 4.3 OS for Galaxy S4. Model: GT-I9505 Country...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu em nisaidieni katika hili Nimekua nikituma maombi ya kazi kwenda recruittanzania@dangoteprojects.com lakini kila nikituma msg inaenda ila baada ya muda narudishiwa majibu kuwa haijafika na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WanaJamvi, Hongereni kwa kuuona Mwaka Mpya 2016. @016 iwe ya Kheri kwenu. Mwenzenu ninatafuta fundi wa Machine ya Kutengenezea / Kuchapisha Picha. Machine ni Noritsu 3311. Ninahitaji kupata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau... Hivi inakuaje simu kuisha chaji wakati inachajiwa? Yaani simu mfano ilikuwa 20% baada ya kujaa inapungua... Tatizo hili nimeliona kwa simu ya bi mkubwa.. Anatumia Tecno M6..
0 Reactions
33 Replies
11K Views
Habar wanajamvi!! Naomba link yoyote nitakayoweza kupata hilo game likiwa cracked ili nipata coins unlimited nakurifurahia.. nimejalibu kutumia lucky patcher lakin hawapi.. ukifungua wanataka...
1 Reactions
30 Replies
10K Views
The new End User Licence Agreement for Microsoft’s Windows 10 product gives it the right to remotely disable any counterfeit software or hardware it may encounter on your PC. Microsoft has...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimefuata procedure zote za kuroot smart phone yangu aina ya tecno l5 yenye android version 5.1 ,kwa kutumia software ya android king root ina root mpaka 70% baada ya hapo inaniletaea meseji ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom