Screenshot za video calling kwenye WhatsApp zimeleak, huduma hiyo inategemewa kuanza kuonekana mwanzoni wa 2016.
http://blogs-images.forbes.com/gordonkelly/files/2015/12/whatsapp-video.jpg
Njia iliyo zoeleka ni kwa kutumia flash disk ... Njia hii often ni nzuri ila kama mwanachuo mwenzako ana virus kwa PC yake inaweza kuwa Shida ...
Na saa Nyengine ni ki file kidogo cha microsoft...
Habari wadau, Mimi nimezoea Quartz Crystal oscillator kama Radio Frequency Generation natumia method hii kuzalisha frequency Naweka Coil na Antenna pia either mike au Male jack port kwa ajili ya...
Ni ujumbe unaotokea kwenye simu yangu kila napojaribu kufungua app ya camera, ni simu aina ya blackberry Q5. Wakati wote nimekuwa nikitumia line ya voda, kabla tatizo hili halijaanza siku 2...
Wadau,
External yangu ya Toshiba (500GB) ilikuwa inafunction vizuri tu kama kawaida, leo baada ya kuichomoa na kuiweka kwenye Port ikawa haisomi hadi saivi, nimegoogle nikaambulia ujumbe wa ku...
Hodi tena jukwaani
Kwanza nishukuru jukwaa kwa kunipa mshauri wa kutosha kuhusu programming language gani nianze nayo kujifunza.
Hii leo naomba kuuliza je kuna applications yoyote ya Photoshop...
Je kunamtu anayejua maujanja ya jinsi ya kufix bluetooth kwenye HP laptops...Coz hp yangu ina bluetooth but nkiwa na search for other bluetooth devices sion kitu
habari, naomba kuuliza mtu mwenye kujua hii program ya SEO, nina website yangu nataka niingize huko ili iweze someka na watu zaidi, ni ya biashara lakini, naomba msaada wenu
Naombeni msaada,mimi nina king'amzi cha continental na tv ya rising flat screen pamoja na ya kichogo.
Bahati mbaya tv ya rising haitoi sauti nikiunganisha tena hata nikiweka flash bado shida ni...
Nina Samsung Galaxy S2 ambayo kuna wakati nikipiga simu au kupokea simu
nakuwa sisikii chochote na wala niliyempigia au kunipigia hasikii chochote toka kwangu.
Tatizo hili huchukua baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.