Msaada apps za kubadili rangi ya mwanga wa simu

Msaada apps za kubadili rangi ya mwanga wa simu

Kaputula La Marx

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
562
Reaction score
500
Nina simu ya Huawei nataka kubadili rangi ya mwanga wake ili iwe na mwanga kama wa simu za sumsung.Nawasilisha
 
ongeza maelezo usaidiwe...mwanga wa samsung ndo ukoje? maana hata mm nina sumsung lkn cjaona kigeni kwny mwanga. shabash
 
Teh teh teh.hamna namna mkuu nunua samsung tu.

Na hata samsung kuna baadhi ya brand zao hazina huo muonekano kama gland prime.
 
samsung wanatumia vioo vinaitwa amoled, vyenyewe pixel zinajiwasha zenyewe moja moja.

makampuni mengine mengi hutumia vioo vya lcd ambavyo kunakua na mwanga kwa nyuma unamulika

super-amoled-vs-lcd-1.jpg


hivyo kama kioo chako ni lcd huwezi kupata quality/effect ya amoled sababu huna hardware husika.

hope blue unayoizungumzia ni hii

DNA-VS-N4-VS-S3.jpg
 
kama unataka mwanga wa samsung si ununue tu samsung shida yote ya nini?
 
mkuu, nakushauri uniuzie hio cmu yako upate fedha za kununua samsung unayoitaka. utaniuzia kwa sh ngapi?
 
au nikupe samsung yangu unipe hiyo simu yako na pesa? 😜😜😜😜
 
Back
Top Bottom